JamiiForums Members Vs. TWAWEZA Tutafute Ukweli

JamiiForums Members Vs. TWAWEZA Tutafute Ukweli

Uchaguzi Wa Urais Ukiitishwa Leo Nani atashinda?


  • Total voters
    273
  • Poll closed .
Na kama wagombea ni hao tu mimi nakosa rais coz naamini wote hawafai
 
nimependa sana kuona kuwa rais wetu dr slaa anaongoza eti maccm yana wazaa wao watuwekee huo utafiti wao waliupataje kama siyo kina bana walikaa chumbani wakajitungia jamii forum nawapongeza sana huu siyo muda wakudanganya watu ni muda wa ukweli na uwazi na siyo wa habari za kusadikika hapa
 
Mzee kibo mbona hizi kura za wazi anashinda dr slaa, zile za zitto na twaweza anashinda lowas? Au kuna kasiri hapo kamejificha?

Twaweza ni taasisi ya EL so wala sikushangaa walipo mpa shavu boss wao!!
 
Nimefuatilia mwanzo hadi mkataka matoke ya 2015 yawe kama haya ya jf shime shime tuhamasishane kupiga kura
 
Back
Top Bottom