JamiiForums Members Vs. TWAWEZA Tutafute Ukweli

JamiiForums Members Vs. TWAWEZA Tutafute Ukweli

Uchaguzi Wa Urais Ukiitishwa Leo Nani atashinda?


  • Total voters
    273
  • Poll closed .
Maoni ya WANANCHI(TWAWEZA) VS Maoni ya JF(UBINAFSI,unaopenda kuambiwa wanachopenda kusikia),ukiwa tofauti,unaonekana unatumika,inataka kufanana maoni ya RASIMU II(TUME YA KATIBA-wananchi) VS maoni ya wabunge(wabinafsi),
Washabiki na viongozi wa chadema hawapendi kuambiwa ukweli(kukosolewa),nakumbuka kuna siku gazeti la raia mwema liliwakosoa,wakadai limenunuliwa,kunakipindi walishutumu JF imenuliliwa,kuna kipindi walishutumu ITV,yaani wao wasikolewe
 
Mkuu MSALANI

Mpe kura yako Dr.Slaa kwenye hii uu uzi wa kijiwe cha Chadema mimi pia nimempa lakini kazi ipo uraiani huko ndiyo kuna kuburi la Chadema.

WanaJF pia wanakaa uraiani. Picha halisi ya uraiani ndio hii.
 
Last edited by a moderator:
Maoni ya WANANCHI(TWAWEZA) VS Maoni ya JF(UBINAFSI,unaopenda kuambiwa wanachopenda kusikia),ukiwa tofauti,unaonekana unatumika,inataka kufanana maoni ya RASIMU II(TUME YA KATIBA-wananchi) VS maoni ya wabunge(wabinafsi),
Washabiki na viongozi wa chadema hawapendi kuambiwa ukweli(kukosolewa),nakumbuka kuna siku gazeti la raia mwema liliwakosoa,wakadai limenunuliwa,kunakipindi walishutumu JF imenuliliwa,kuna kipindi walishutumu ITV,yaani wao wasikolewe
hapo ndo umeshapiga kura yako?
 
Back
Top Bottom