Mingoi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 11,715
- 6,124
Ni Dr.Slaa, ukimwangalia kuanzia kichwani mpaka unyayoni kweli ana nia ya kweli kuwakomboa Watanzania.
Angeanza na familia yake aliyoitelekeza kisa kimada.
Ni Dr.Slaa, ukimwangalia kuanzia kichwani mpaka unyayoni kweli ana nia ya kweli kuwakomboa Watanzania.
Angeanza na familia yake aliyoitelekeza kisa kimada.
Mbona Dr.Slaa JF anaibuka mshindi kila siku kazi ipo uraiani huko ndiyo watu hawamtaki.
Dr slaa asingezulumiwa, Tanzania ya Leo isingekuwa inapumulia mashineMbona Dr.Slaa JF anaibuka mshindi kila siku kazi ipo uraiani huko ndiyo watu hawamtaki.
Mbona Dr.Slaa JF anaibuka mshindi kila siku kazi ipo uraiani huko ndiyo watu hawamtaki.
Mbona Dr.Slaa JF anaibuka mshindi kila siku kazi ipo uraiani huko ndiyo watu hawamtaki.