Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 56,751
- 46,270
Mkuu MSALANIMkuu Ritz ...
Umeniacha hoi...Wamesahau kuwa JF haiwezi kuleta picha halisi, ukichukulia kuwa mtandao huu umefurika misukule wa CHADEMA.
Waache waendelee kujidanganya, halafu mwisho wa siku wanasema wameibiwa kura!
Mpe kura yako Dr.Slaa kwenye hii uu uzi wa kijiwe cha Chadema mimi pia nimempa lakini kazi ipo uraiani huko ndiyo kuna kuburi la Chadema.
Last edited by a moderator: