Hapa siyo suala la la Lowasa, Sitta, au Slaa kuwa Rais, suala ni Chama gani chenye Sera nzuri ambacho kimetoa viongozi wengi mahiri. "obviously", ni CCM ndicho kimetoa Lowassa, Sitta, na kuviacha vyama vingine vya ovyo ovyo vikigaragara chali kama mende. TWAWEZA hongereni sana. Kwa hakika ni aibu na ni wendawazimu kujenga matumaini kuwa Chadema iko siku itashika dola Tanzania. na ni wendawazimu kutoka nyumbani kwako na kuaga watoto eti naenda kumpigia kura Slaa, ni kichaa kisichokuwa na tiba kudhani Slaa ni mwanasiasa badala ya kichaa. Chadema ni sawa na kinyesi cha mwendawazimu.
Sera nzuri kama hizi hapa chini:-
(a) ukwapuaji wa IPTL
(b) Ukwapuaji kama huu wa Escrow account
(c) Ukosefu wa dawa mahospitalini ( MSD kweupe)
(d) Mauaji ya Albino na vikongwe
(e) EPA
(f) meremeta na n.k
(g) Deni la taifa Trill.40
(h) misafara ya kukopa ughaibuni
(i) utoroshajii wa twiga na Tembo
(j) Utoroshaji wa pesa kifisadi - Jersey na uswisi
(k) Kushusha ufaulu kidato cha nne na sita ili kuendana na kushuka kwa elimu
(l) mazao ya wakulima kuozea maghalani
(m) kusamehe kodi makampuni makubwa huku PAYE NA SDL ukiwa mwiba kwa wazalendo
(n) Kushuka kwa thamani ya Shilingi - now is Tzs.1720 kwa kila dola moja ya marekani
(o) Haijulikani kwa nini malipo ya vitu hapa nchi hufanywa kwa dola badala ya Tshs
(p) Sembe( madawa ya kulevya) kuwa scandal ya taifa
(q) Kuwapiga na kutesa wale wanaoikosoa serikali iliijisahihishe
(r) n.k n.k n.k
Nani sasa kinyesi cha mwendawazimu kama usemavyo wewe. Kama sio CCM!!