JamiiForums - Maboresho ya mwaka 2018

JamiiForums - Maboresho ya mwaka 2018

Tulibaini kuwa watu wana-abuse pia hii. Walikuwa wana-quote bandiko reeeeefu na kuwaumiza wanaotumia simu. So, ni selected threads tunachagua 1st post ionekane kila unapoperuzi kurasa zaidi.

Hata hivyo, tunaliangalia upya hili
Mkuu hili tatizo nadhani lilitatuliwa pale mlipopata 'akili' ya ku-condense maandishi yaliyokuwa quoted....hii ni nzuri sio kwa wanaotumia simu tu bali hata tunaotumia PC.

Lakini pia mkuu....watu tunaotumia simu hatupendi tujulikane...na kibaya zaidi mtandao unataja hadi aina ya simu anayotumia mtu. Kama itawezekana naomba hii iondolewe ili kwamba mtu akiandika uzi au reply asijulikane kama ametumua simu au la. Kama haiwezekani, rudisheni ile app ya zamani ambayo ilimpa mtumiaji wa jf kuamua kuondoa tick ili isioneshe anatumia simu (na aina ya simu). Sioni mantiki ya kuonesha aina ya kifaa anachotumua mwanajf kubrowse jf.

Nawasilisha.
 
Kama ingewezekana mngezuia wabaya wetu wasiingie kabisa humu ndani kwa sababu hawatufai tu. Wanalenga kutupotezea umaana wa kutumia mitandao.
 
Bado huoni changes upande wa muda?
ndio sioni kwa mimi naetumia browser. hii ni screen shot ya leo
ambayo haioneshi post yako imepostiwa sangapi
IMG_20180727_092148_313.JPG


hii ni screenshot ya muda mrefu inaonesha post za wadau zimepostiwa sangap kama 10mn ago n.k
unnamed.jpg
 
ndio sioni kwa mimi naetumia browser. hii ni screen shot ya leo
ambayo haioneshi post yako imepostiwa sangapiView attachment 819956

hii ni screenshot ya muda mrefu inaonesha post za wadau zimepostiwa sangap kama 10mn ago n.k
Nadhani ni cache issue. Wengine wameshaona marekebisho, ukitumia browser tofauti utaona
 
Mkuu,

Kwenye mobile app, bonyeza SETTINGS na Chagua Signature. Iweke OFF

CCE7BEE2-F91B-4A72-8A4B-AB567D0685E9.jpeg


Lakini pia mkuu....watu tunaotumia simu hatupendi tujulikane...na kibaya zaidi mtandao unataja hadi aina ya simu anayotumia mtu. Kama itawezekana naomba hii iondolewe ili kwamba mtu akiandika uzi au reply asijulikane kama ametumua simu au la. Kama haiwezekani, rudisheni ile app ya zamani ambayo ilimpa mtumiaji wa jf kuamua kuondoa tick ili isioneshe anatumia simu (na aina ya simu). Sioni mantiki ya kuonesha aina ya kifaa anachotumua mwanajf kubrowse jf.

Nawasilisha.
 
Hongereni kwa maboresho mazuri ila hili la kuandika my user name hapa chini sijafurahia
Ile dhana ya freedom naona naikosa
 
Jamiiforums waweke uwezo wa ki "subcomment tab" (sina hakika na jina hilo, nilikiona Fb ni muda sasa situmii fb) kimpe uwezo huyo mchakachuaji kuanzisha kijisehemu cha hizo comment zilizo nje ya mada ili waendeleze zogo huko wasiharibu mtiririko wa Comment zingine.

Jitahidi unielewe tu
Ha ha ha umejitahid sana mkuu kujieleza naimani atakua amekuelewa!
 
Wakuu,

Napenda kutoa taarifa mapema kuwa kutakuwa na maboresho kadhaa ili kutekeleza baadhi ya maombi ya wadau na kurekebisha kasoro kadhaa katika tovuti na app yetu.

Aidha, baada ya utafiti tulioufanya (tunawashukuru wote walioshiriki katika utafiti huu), kuna mengine yataendelea kuongezwa na kuboreshwa ndani ya siku 45 zijazo.

JF inayoonekana na kutumika sasa ilifanyiwa maboresho yaliyotokana na utafiti kwa wadau kati ya mwaka 2012 hadi 2016 ambapo Januari 2016 ilianza kutumika rasmi. Ni hii hii inayoboreshwa zaidi mwaka 2018 ili kuzidi kuifanya JF iwe rahisi kwa wengi kuitumia na kuifurahia.

Yanayotarajiwa:
1) Kuna ambao hawataona utofauti haraka kwani hatujacheza mbali na kilichozoeleka lakini wataona urahisi zaidi wa kuitumia JF
2) Kuna watakaoona baadhi ya vitu vimeondolewa - hivi vitatolewa sababu za kuondolewa kwake na kuoneshwa maboresho yaliyofanywa ili kutopoteza vitu hivyo
3) App: Waliokuwa wakikwama kwa mambo kadha wa kadha - yamerekebishwa kwa kadiri tulivyoweza
4) Mapendekezo ya wadau baada ya JF kufanyiwa maboresho haya yatafanyiwa kazi ndani ya siku hizo hizo 45
5) Search itakuwa inaleta matokeo haraka na relevant zaidi
6) Wanaotumia app wataona baadhi ya vitu ambavyo walikuwa wakikwama vikiwa vimetatuliwa
7) Emoji nyingi zitakuwa rahisi kutumiwa na yeyote (ziko supported)
8) JF itaanza kufunguka kwa kasi zaidi ya awali

Tunawashukuru kwa uvumilivu wenu na kushiriki katika utafiti uliofanywa (nje ya mtandao) ili kuboresha jinsi mnavyoutumia mtandao huu.

Asante
Hongereni sana, nimeona mabadiliko leo!😀😀
 
Screenshot_20180727-102503.jpg

Mkuu Mimi nimerudisha tu tolea la zamani maana kero ni moja tu "wanaoquite rhread ndefu" tofauti ni maboresho ya sasa ambayo mpangilio na rangi ya maandishi sio nzuri
Keangu mimi toleo la zamani la hapo juu ni bora kuliko hili

Pia mtu akitaka kukopi maneno/post yenye picha hawezi kukopi picha(sijui mimi ndio mshamba)
 
Last edited:
Back
Top Bottom