JamiiForums - Maboresho ya mwaka 2018

JamiiForums - Maboresho ya mwaka 2018

Sawa n
Wakuu,

Napenda kutoa taarifa mapema kuwa kutakuwa na maboresho kadhaa ili kutekeleza baadhi ya maombi ya wadau na kurekebisha kasoro kadhaa katika tovuti na app yetu.

Aidha, baada ya utafiti tulioufanya (tunawashukuru wote walioshiriki katika utafiti huu), kuna mengine yataendelea kuongezwa na kuboreshwa ndani ya siku 45 zijazo.

JF inayoonekana na kutumika sasa ilifanyiwa maboresho yaliyotokana na utafiti kwa wadau kati ya mwaka 2012 hadi 2016 ambapo Januari 2016 ilianza kutumika rasmi. Ni hii hii inayoboreshwa zaidi mwaka 2018 ili kuzidi kuifanya JF iwe rahisi kwa wengi kuitumia na kuifurahia.

Yanayotarajiwa:
1) Kuna ambao hawataona utofauti haraka kwani hatujacheza mbali na kilichozoeleka lakini wataona urahisi zaidi wa kuitumia JF
2) Kuna watakaoona baadhi ya vitu vimeondolewa - hivi vitatolewa sababu za kuondolewa kwake na kuoneshwa maboresho yaliyofanywa ili kutopoteza vitu hivyo
3) App: Waliokuwa wakikwama kwa mambo kadha wa kadha - yamerekebishwa kwa kadiri tulivyoweza
4) Mapendekezo ya wadau baada ya JF kufanyiwa maboresho haya yatafanyiwa kazi ndani ya siku hizo hizo 45
5) Search itakuwa inaleta matokeo haraka na relevant zaidi
6) Wanaotumia app wataona baadhi ya vitu ambavyo walikuwa wakikwama vikiwa vimetatuliwa
7) Emoji nyingi zitakuwa rahisi kutumiwa na yeyote (ziko supported)
8) JF itaanza kufunguka kwa kasi zaidi ya awali

Tunawashukuru kwa uvumilivu wenu na kushiriki katika utafiti uliofanywa (nje ya mtandao) ili kuboresha jinsi mnavyoutumia mtandao huu.

Asante
Kifupi imekaa poa hongera sana
 
Maxence Melo mkuu sala la post kutoonesha muda au lini ilipo postiwa sio jema. kwa mfano post iliyo andikwa na mtu mwaka jana na ambayo nimeandika saivi huwez zitofautisha nasema hili kwa sababuni muhimu hasa kwenye swala letu tulilozoea la kufukua makaburi unakuta labda

mtu aliandika fulani asipo shinda uraisi nipigwe ban kwa utaratibu wa sasa wa kutoonesha muda ama lini post hiyo iliandikwa ladha hiyo inapotea
NB: pale juu muda unaonekana lini au sangapi mada imeandikwa ila replys ndo haizioneshi.

pia kwa upande wa website imekua nzito kidogo hasa wakat wa ku type kwenye kisehem cha kuandikia
 
Maxence Melo , search boks iliyokuwepo kwenye wall pale juu kushoto pemben ya ile icon ya ID/ACCOUNT ilikua inasaidia ku search kitu ki urahisi asaiv siioni through browser, tatzo nini? Ni ya muhm sana, kitu kingne tunaotumia browser kwa simu ndogo App haifit kweny display, baadh ya icon/word mfano report/ reply/ like/ quote nk zinakua upande kulia na hazionekan kwenye display means unaweza andka comment halaf ushndwe ku reply sababu icon huioni, la sivyo mpk utumie setting ya opera uangalie/ufungue page kama "single column view" tofaut na mwanzo, naomb mjarb ku squiz kila kitu kifit kama mwanzo
 
Wakuu,

Napenda kutoa taarifa mapema kuwa kutakuwa na maboresho kadhaa ili kutekeleza baadhi ya maombi ya wadau na kurekebisha kasoro kadhaa katika tovuti na app yetu.

Aidha, baada ya utafiti tulioufanya (tunawashukuru wote walioshiriki katika utafiti huu), kuna mengine yataendelea kuongezwa na kuboreshwa ndani ya siku 45 zijazo.

JF inayoonekana na kutumika sasa ilifanyiwa maboresho yaliyotokana na utafiti kwa wadau kati ya mwaka 2012 hadi 2016 ambapo Januari 2016 ilianza kutumika rasmi. Ni hii hii inayoboreshwa zaidi mwaka 2018 ili kuzidi kuifanya JF iwe rahisi kwa wengi kuitumia na kuifurahia.

Yanayotarajiwa:
1) Kuna ambao hawataona utofauti haraka kwani hatujacheza mbali na kilichozoeleka lakini wataona urahisi zaidi wa kuitumia JF
2) Kuna watakaoona baadhi ya vitu vimeondolewa - hivi vitatolewa sababu za kuondolewa kwake na kuoneshwa maboresho yaliyofanywa ili kutopoteza vitu hivyo
3) App: Waliokuwa wakikwama kwa mambo kadha wa kadha - yamerekebishwa kwa kadiri tulivyoweza
4) Mapendekezo ya wadau baada ya JF kufanyiwa maboresho haya yatafanyiwa kazi ndani ya siku hizo hizo 45
5) Search itakuwa inaleta matokeo haraka na relevant zaidi
6) Wanaotumia app wataona baadhi ya vitu ambavyo walikuwa wakikwama vikiwa vimetatuliwa
7) Emoji nyingi zitakuwa rahisi kutumiwa na yeyote (ziko supported)
8) JF itaanza kufunguka kwa kasi zaidi ya awali

Tunawashukuru kwa uvumilivu wenu na kushiriki katika utafiti uliofanywa (nje ya mtandao) ili kuboresha jinsi mnavyoutumia mtandao huu.

Asante
Nilikuwa natafuta vitufe vya Like,Reply,Quote ,pia post reply ipo chini badala ya juu na vingine upande wa kushoto kumbe vimehamia upande wa kulia,ni kama mtu umezoea kutumia Mac na unaenda Window na Vice versa,nimepata taabu sana kutafuta vitufe lakini ni maboresho mazuri sana ,hongereni timu nzima ya JF
 
Maxence Melo , search boks iliyokuwepo kwenye wall pale juu kushoto pemben ya ile icon ya ID/ACCOUNT ilikua inasaidia ku search kitu ki urahisi asaiv siioni through browser, tatzo nini? Ni ya muhm sana, kitu kingne tunaotumia browser kwa simu ndogo App haifit kweny display, baadh ya icon/word mfano report/ reply/ like/ quote nk zinakua upande kulia na hazionekan kwenye display means unaweza andka comment halaf ushndwe ku reply sababu icon huioni, la sivyo mpk utumie setting ya opera uangalie/ufungue page kama "single column view" tofaut na mwanzo, naomb mjarb ku squiz kila kitu kifit kama mwanzo
Kwa mnaotumia device ndogo sana. Tunafanya mkakati wa kuwapa version rahisi zaidi kwenu.

Asante
 
Wakuu,

Napenda kutoa taarifa mapema kuwa kutakuwa na maboresho kadhaa ili kutekeleza baadhi ya maombi ya wadau na kurekebisha kasoro kadhaa katika tovuti na app yetu.

Aidha, baada ya utafiti tulioufanya (tunawashukuru wote walioshiriki katika utafiti huu), kuna mengine yataendelea kuongezwa na kuboreshwa ndani ya siku 45 zijazo.

JF inayoonekana na kutumika sasa ilifanyiwa maboresho yaliyotokana na utafiti kwa wadau kati ya mwaka 2012 hadi 2016 ambapo Januari 2016 ilianza kutumika rasmi. Ni hii hii inayoboreshwa zaidi mwaka 2018 ili kuzidi kuifanya JF iwe rahisi kwa wengi kuitumia na kuifurahia.

Yanayotarajiwa:
1) Kuna ambao hawataona utofauti haraka kwani hatujacheza mbali na kilichozoeleka lakini wataona urahisi zaidi wa kuitumia JF
2) Kuna watakaoona baadhi ya vitu vimeondolewa - hivi vitatolewa sababu za kuondolewa kwake na kuoneshwa maboresho yaliyofanywa ili kutopoteza vitu hivyo
3) App: Waliokuwa wakikwama kwa mambo kadha wa kadha - yamerekebishwa kwa kadiri tulivyoweza
4) Mapendekezo ya wadau baada ya JF kufanyiwa maboresho haya yatafanyiwa kazi ndani ya siku hizo hizo 45
5) Search itakuwa inaleta matokeo haraka na relevant zaidi
6) Wanaotumia app wataona baadhi ya vitu ambavyo walikuwa wakikwama vikiwa vimetatuliwa
7) Emoji nyingi zitakuwa rahisi kutumiwa na yeyote (ziko supported)
8) JF itaanza kufunguka kwa kasi zaidi ya awali

Tunawashukuru kwa uvumilivu wenu na kushiriki katika utafiti uliofanywa (nje ya mtandao) ili kuboresha jinsi mnavyoutumia mtandao huu.

Asante

Mkuu heshima kwako.

Well, nilitoa ombi la kuweka muda ambao member amepost thread au comment ili kujua post flani imechangiwa sekunde/dakika/masaa/siku ngapi zilizopita nashkuru hili mlilifanyia kazi kiongozi. Hongereni sana kwa hilo na mengine mkuu.

Napenda kuleta ombi jingine kwako katika kuboresha mtandao wetu pendwa mkuu. Zamani ilikuwa mtu akisoma thread heading color ilikuwa inabadilika kama skosei ili kumpa member wepesi wa kujua thread ipi ameisoma na ipi bado, ila baada ya maboresho haya naona hii mmesahau kuiweka/kuirudisha kiongozi.

Naomba kupendekeza hili pendekezo kiongozi ili mtandao wetu pendwa uweze kuwa na mvuto zaidi na uzidi kuwa katika ubora wa hali ya juu na muonekano mzuri zaidi mkuu.

Natanguliza shukran zangu za dhati kwako na uongozi/team nzima ya JF mkuu.

Ubarikiwe sana kiongozi wangu.

🙏
 
Hichi ndio kitu ninachopata kila muda, app ina crush inabidi kuanza upya.
Screenshot_2018-07-28-09-54-36.jpg
 
Mimi ninayetumia browser napata tabu sana.... Siwezi kuona kitufe cha "NEW POSTS"!! Kwanini??? I'm so frustrated!!!

Brother Maxence tunaomba uturekebishie hiyo!!

Kitufe cha NEW POSTS kwenye BROWSER!!
 
Tatzo wamefanya update wakichukulia kua wateja karbun wote wa jf wanatumia android tena zile latest, jf ya mwanzo ilikua inafit kwa watumiaji wa simu zote, version zote na Os zote, Mf mm kila nikiandka post lazma kwanza ni edit hili neno "Write your reply here..." linatokea sehem ya kuandikia comment, search box iliyokuwepo juu kulia asaiv haipo, ilikua inasaidia ku search kitu kirahs, icon nyingne hazionekan kwenye wall/App page zipo hiden kulia(kwa lugha nyingne app haifit yote kwenye display kama mwanzo) yote kwa yote wanajitahd naamin wanayafanyia kazi
 
Back
Top Bottom