JamiiForums - Maboresho ya mwaka 2018

JamiiForums - Maboresho ya mwaka 2018

replys, mentions, quotations zinapaswa kuonenaka zimeandikwa sa ngapi hii inamrahisisha msomaji kuona ametajwa sangap? je amechelewa kujibu? post ya mwisho kupostiwa ktk mada fulan ilikua sangapi? sio kila muda utakua active onle. kama kuna uwezekano zingatien hili
Maxence Melo

kwa mfano unasiku nyingi huingii kwenye mada ya the Manchester city thread ukiingia hapo kama repy zinaonesha muda itakurahisishia ku jump page hadi page kuendana na muda wa post unayo taka uisome labda tuseme ilihusu maswala ya usajiri na ilikua trh fulan inakua rahisi kwako kuipata
 
Bwana melo na wenzako mafundi.


Mimi notification napata lkn nkigusa hazinileti mahali husika, au pengine napata blank kabisaa
 
Asante sana kwa maboresho ndugu Melo Siku zote wana JF tunakuombea kwa Mungu azidi kukupa maono ya kutuboreshea JF ili izidi kuwanufaisha na kuwatoa Watanzania wengi gizani!!!!!

Ni matumaini yangu kuwa jf itatumiwa na kila Mtanzania siku za usoni na kunufaika nayo!!!!

Ubarikiwe sana!!!
 
replys, mentions, quotations zinapaswa kuonenaka zimeandikwa sa ngapi hii inamrahisisha msomaji kuona ametajwa sangap? je amechelewa kujibu? post ya mwisho kupostiwa ktk mada fulan ilikua sangapi? sio kila muda utakua active onle. kama kuna uwezekano zingatien hili
Maxence Melo
Bado huoni changes upande wa muda?
 
Mkuu bado kitufe cha LOGIN Kwenye mobile application kimeendelea kuwa changamoto. Bado tunakisia tu.

Mkiweka kitufe cha dislike mtakuwa mmemaliza kiu yangu
 
Wakuu,

Napenda kutoa taarifa mapema kuwa kutakuwa na maboresho kadhaa ili kutekeleza baadhi ya maombi ya wadau na kurekebisha kasoro kadhaa katika tovuti na app yetu.

Aidha, baada ya utafiti tulioufanya (tunawashukuru wote walioshiriki katika utafiti huu), kuna mengine yataendelea kuongezwa na kuboreshwa ndani ya siku 45 zijazo.

JF inayoonekana na kutumika sasa ilifanyiwa maboresho yaliyotokana na utafiti kwa wadau kati ya mwaka 2012 hadi 2016 ambapo Januari 2016 ilianza kutumika rasmi. Ni hii hii inayoboreshwa zaidi mwaka 2018 ili kuzidi kuifanya JF iwe rahisi kwa wengi kuitumia na kuifurahia.

Yanayotarajiwa:
1) Kuna ambao hawataona utofauti haraka kwani hatujacheza mbali na kilichozoeleka lakini wataona urahisi zaidi wa kuitumia JF
2) Kuna watakaoona baadhi ya vitu vimeondolewa - hivi vitatolewa sababu za kuondolewa kwake na kuoneshwa maboresho yaliyofanywa ili kutopoteza vitu hivyo
3) App: Waliokuwa wakikwama kwa mambo kadha wa kadha - yamerekebishwa kwa kadiri tulivyoweza
4) Mapendekezo ya wadau baada ya JF kufanyiwa maboresho haya yatafanyiwa kazi ndani ya siku hizo hizo 45
5) Search itakuwa inaleta matokeo haraka na relevant zaidi
6) Wanaotumia app wataona baadhi ya vitu ambavyo walikuwa wakikwama vikiwa vimetatuliwa
7) Emoji nyingi zitakuwa rahisi kutumiwa na yeyote (ziko supported)
8) JF itaanza kufunguka kwa kasi zaidi ya awali

Tunawashukuru kwa uvumilivu wenu na kushiriki katika utafiti uliofanywa (nje ya mtandao) ili kuboresha jinsi mnavyoutumia mtandao huu.

Asante
Usisahau urahisi wakuweka picha au video, hapa jf ni ngumu sana tofauti na mitandao mingine.
 
Back
Top Bottom