JamiiForums - Maboresho ya mwaka 2018

JamiiForums - Maboresho ya mwaka 2018

Kuna maboresho yyote yanayoendelea ktk private messages PM? Nimefungua PM yangu sijakuta msg hata moja na nilipo jaribu kutuma pm haijawezekana JamiiForums Paw
 
Mkuu,

Kwenye mobile app, bonyeza SETTINGS na Chagua Signature. Iweke OFF

View attachment 819959
Samahani mkuu labda hukunielewa vizuri. Tatizo langu halihusu signature bali linahusu kuonyesha aina ya simu ninayotumia ku-browse JamiiForums wakati nitumapo post au reply....yaaani hapa: "Sent by Samsung JI using JamiiForums". Je, hakuna namna ya kuondoa hizi "mbwembwe" ili kwamba ninapotumia PC au simu isijulikane nimetumia kifaa gani? Nadhani nimeeleweka mkuu Maxence Melo na wakuu wengine wa JamiiForums . Pamoja sana.
 
Samahani mkuu labda hukunielewa vizuri. Tatizo langu halihusu signature bali linahusu kuonyesha aina ya simu ninayotumia ku-browse JamiiForums wakati nitumapo post au reply....yaaani hapa: "Sent by Samsung JI using JamiiForums". Je, hakuna namna ya kuondoa hizi "mbwembwe" ili kwamba ninapotumia PC au simu isijulikane nimetumia kifaa gani? Nadhani nimeeleweka mkuu Maxence Melo na wakuu wengine wa JamiiForums . Pamoja sana.
Uki-disable hivyo ndo inaondoka mkuu wangu
 
Uki-disable hivyo ndo inaondoka mkuu wangu
Nashukuru kwa mrejesho mkuu lakini kwenye simu yangu hakuna option ya OFF kama unavyoona kwenye attachment na ninaambiwa iko disabled lakini bado inaonekana iko ON. Inawezekanaje iseme ipo disabled na wakati huo huo naona iko ON na hainipi option ya OFF?
Screenshot_2018-08-07-10-24-27.jpg
 
Mkuu Maxence Melo, et al mimi naona hii JF mpya bado kabisa haijatulia. Kwa mfano, ukifungua nyuzi ambazo umePARTICIPATE unapata nyuzi ambazo hukumbuki kuwahi kuPARTICIPATE (zitakuwa labda za mwaka juzi!). Pia notifications haziji na ukilazimisha kuzitafuta huzioni (kwenye simu). Tunaotumia simu ndio tunaumia zaidi. Na tatizo la emojis bado halijatatuliwa hata kidogo.

Anyway, tunashukuru kwa maboresho mliyofanya so far na tuna imani maboresho yatazidi kufanyika.
 
Kwenye maboresho kumbukeni kubadili rangi maana hii blue paufu ni ya kitambo mno
 
Wengine sisi hata hatujui tunataka nini,yote sawa tu.kuweka rangi kwenyewe ni shughuli
 
Wakati mnafanya marekebisho, tunashauri mambo haya.
Kuwepo uwezo wa kuweka audio kama file mp3.. Tuweze kusikia
Kuwepo wa kuweka video sio zile za YouTube, hata mp4
Kuwepo uwezo wa ku dislike.
 
Haya maboresho bado yanaendelea au yalishakoma:

Kama bado naomba kutoa pendekezo kuwa hapo baada ya neno Forums kunapofuatiwa na hiyo alama ya look down ...iwepo alama kama hiyo nyingine inayoorothesha forums zote nikimaanisha Siasa, Habari na hoja mchanganyiko etc, hii itamsaidia msomaji katika kupata forum anayoitaka bila ku scroll badala yake anagonga V inamletea orodha kisha anaichagua na kuendelea kuifurahia JF
 
Back
Top Bottom