Hahaha ongea vizuri na mleta mada atakupa connectionSo far kinachoendelea hapa ni kwamba kila mtu anaongea kwa experience yake pia. Neno moja au mawili kama 'binafsi' au 'kwa mtazamo wangu'yangeondoa mjadala wote huu, kwa sababu yangeonyesha wazi kuwa ni experience yake, sio ukweli ambalo ni lazima kila mtu akubali. Otherwise naomba unipe ABC za kupata msukuma na mimi nipate hiyo experience kidogo.
Wivu gani, sijakupat MkuuDah , hivi kuna namna kwenye biashara wana wivu fulani wa kijanga? Kuna kitu nataka nifanye uchunguzi mkuu🤔
Wivu ule wa kuchomeana?Wivu gani, sijakupat Mkuu
Mkuu wahangaza ni wazuri sana?Wana maumbo mazuri kuliko Wamasai na Wahangaza?
Ni warefu kuliko Wamasai na Wahangaza?
Wana heshima kuliko Wamasai na Wahangaza?
Nipo pande za kwimba mbona siwahon Mkuu.hapa nazungumzia wasukuma hamna kabila lenye wadada wazuri kama hili.kwa hiyo masela karibun mwanza muone vitu vya hatari.
Hapo sina uhakika, lakini hawa jamaa ni wanarogana hatar, wao kwa wao hawana shida sana na wageniWivu ule wa kuchomeana?
Kama wanawake wa Rwanda wa Kitusi ni type zako unazozipenda.Mkuu wahangaza ni wazuri sana?
Yaani wao asbuhi wapo wote alaf nyuma ya pazia kila mtu yupo fiti kiroho kumharibia mwenzakeWivu ule wa kuchomeana?
Nmeteleza nmeingia kwenye mtego wa kugeneralize.Pole sana..
Lakini umejumuisha wote..
Mbona huwa naona wanapenda sana kwenda kanisani na masuala ya ibada..
Huo ndiyo udhaifu wetu, mtuvumilie tu tumeshindwa kuacha asili 🤣Mmeanza , adakadabra 😅
🔥🔥🔥Nimesoma replies zote, naunga miono hoja ya mleta mada 💯
Kabisa mayu, mapungufu kwa mwanadamu hayakosekani, huwezi kupata malaika lakini, bhanike bhenabo bale na nafuu kabisa!Seran mihayo ile minge nho, namanile bhasukuma bale na bhanike bha wiza ghete 😇😊
Tafuta ndugu zako mapema kabla uzi haujachanganya!😅Mmeanza , adakadabra 😅
Hapa umeongea ukweli fulani, kuna kitu nilikua nakifuatilia nimekipata hapaNmeteleza nmeingia kwenye mtego wa kugeneralize.
Sio wote wapo hivyo wapo wema,wakarimu,wakweli na wenye misimamo.
Lkn usiombe ukutane na hao toxic people hawafai hta kidogo
Hawapendi mgeni afanikiwe kwa namna yoyote ile ,uchonganishi makundi ,majungu na umbea ndo mahali pake.
Sijui kilugha mimiTafuta ndugu zako mapema kabla uzi haujachanganya!😅