Jamii yetu ina wake bora wa kuoa!

Jamii yetu ina wake bora wa kuoa!

Bado hajatembea, aje Tabora ujionee maajabu ya Wanyamwezi, aje Singida ajioone maajabu ya Wanyaturu na Wanyiramba, aje Arusha na Manyara ajionee maajabu ya Warangi na Wambulu.
Mkuu mleta mada hakuwa na nia mbaya na makabila mengine sijui kwanini mmekuja kumuatack, kachagua kabila moja kaliongelea kutokana na experience yake nyie mnaanzisha mashindano! Mbona kaeleweka vizuri tu maleta contradictions zisizo namaana hapa! Nyie mliotembea dunia nzima kaanizsheni mada kuweka mambo sawa, muacheni ajivunie anachokijua tu
Cc: Latent chaos
 
Aisee unamjaza hasira sana promethus atazidi kumwaga moto.. halafu kutatokea ugomvi hapa maana baharia anamwaga moto hadi kwa wanaume wa kinyakyusa..
Apan, sema wanazngua

Sku 1 tumepoa geto kwa mshikaj tukatoa kitu ugali wa kula mtu 5, af imagine mshikaj mnyakyusa anakula ugali na kijiko Tabia gani hiyo mzee ??

Mtu anamega ugal na kijiko, mboga anachot na kijiko... Ila wanyakyusa 😂😂😂
 
Apan, sema wanazngua

Sku 1 tumepoa geto kwa mshikaj tukatoa kitu ugali wa kula mtu 5, af imagine mshikaj mnyakyusa anakula ugali na kijiko Tabia gani hiyo mzee ??

Mtu anamega ugal na kijiko, mboga anachot na kijiko... Ila wanyakyusa 😂😂😂
Nasikia mwanamke wa kinyakyusa akiona parachichi hadi vinyweleo vya mwili vinasimama..anapata goosebumps..
 
Back
Top Bottom