cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,102
- 181,129
😂😂😂😂😂Mimi nashauli na uyu Mwalimu wa Zamu Tz
Apewe kitengo Cha ufagiaji na bustani apo mikocheni apate kujiongezea kipato maana sio kwa gubu hili
😂😂😂😂😂Mimi nashauli na uyu Mwalimu wa Zamu Tz
Apewe kitengo Cha ufagiaji na bustani apo mikocheni apate kujiongezea kipato maana sio kwa gubu hili
Haiombwi ivyo
😁😁😁😁 jamaa anataka kumuharibia mtu kibarua chake dah kweli wabaya ni watuKwahiyo amfukuze IT aliepo sahivi
Au ni akaunti yake anajipigia promo? 💀💀😁😁😁😁 jamaa anataka kumuharibia mtu kibarua chake dah kweli wabaya ni watu
🤣🤣🤣🤣 dah kweli kaka unaweza kuta ni akaunti yake dah JF nime 🙌🙌🙌Au ni akaunti yake anajipigia promo? 💀💀
Shukrani MkuuSafi sana mkuu. Hongera sana
Asante MkuuNzuri, hongera!
Kwa sasa sina darasa boss, nina majukumu mengineWakupe tu mchongo
Mkuu unaweza, hauna darasa?
Haipo live , imefanyiwa test kwenye development environmentTunaweza kuidownload? Tuitest
Shukrani MkuuSafi sana kaka, na Hongera pia..