Inawezekanaje mkuu?Sometimes ndumba zinasave sana.. Nilikuwa online muda wote bila bundle wala vpn😎
Haiwezekani mkuu, ni kama wale jamaa kipindi kile walienda airport kwamba Mungu amewaambia wapande Ndege Bure wakaihubiri injili Duniani kote, bila hata kitambulisho chochote.Inawezekanaje mkuu?
Yaani acha tu. Ila nadhanj mtandao wangu uli corrupt nikapata free internetInawezekanaje mkuu?
Who are you?Sometimes ndumba zinasave sana.. Nilikuwa online muda wote bila bundle wala vpn😎
Hao jamaa walikuliwa kuupanda bure? 😂Haiwezekani mkuu, ni kama wale jamaa kipindi kile walienda airport kwamba Mungu amewaambia wapande Ndege Bure wakaihubiri injili Duniani kote, bila hata kitambulisho chochote.
Hata mimi niliingia bila VPN JF baada ya mitandao kufungliwa lakini nilikuwa na bando.Yaani acha tu. Ila nadhanj mtandao wangu uli corrupt nikapata free internet
Hawakupewa ruhusa!Hao jamaa walikuliwa kuupanda bure? 😂
Mkuu rasimisha bundle la ndumba unanze kula not D9 inakuja tuwe tuwacheka tu wakikata😀Sometimes ndumba zinasave sana.. Nilikuwa online muda wote bila bundle wala vpn😎
Mkuu kifungo kinaisha ww ndio waleta habari?! Ukiwa unahisi unampenda kupost news jitahidi kuwa mtu current mwenye updatesView attachment 3511436bila private network inakuwa hivi huwezi kuperuzi
Ndio unajua leo?View attachment 3511436bila private network inakuwa hivi huwezi kuperuzi
Ni kweli kabisa,Huku nilipo leo internet haikuwepo alfajiri nikajua wamefanya yao tena.
Hata VPN ilikuwa haiunganishiki tena bila shaka wanatest mitambo.
Wasabato walikuwa.Hao jamaa walikuliwa kuupanda bure? 😂