Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 25,321
- 34,673
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kuna watu hawana kifua yaani kila kitu mpaka Uzi kweli?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kuna watu hawana kifua yaani kila kitu mpaka Uzi kweli?
Kwa uwezo wa yule mungu wao wanaomwamini nadhani watakuwa walifika.Hawakupewa ruhusa!
Itakuwa alikuwa jera huyoNdio unajua leo?
Wasabato hawana mbambamba.Wasabato walikuwa.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Wasabato hawana mbambamba.
Ila umalaya wa chini chini umewatapakaa hadi kwanye nywele.
Nawakubali sana wale jamaa japokuwa Genta a.k.a Popoma anawaangusha sana Kwa tabia yake ya kugawa kibwenye kama njugu.😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wafike wapi? Waliishia Getini tu mkuu, Suti kuuubwa eti Mungu kawaambia wapande Ndege Bure wakatoe neno la Mungu nje ya nchiKwa uwezo wa yule mungu wao wanaomwamini nadhani watakuwa walifika.
Kama Tony Kapola alijaza mtungi wa gesi kwa kuupuliza unafikiri hao jamaa hawakupaa hadi wakafika walikoenda?Wafike wapi? Waliishia Getini tu mkuu
Tony naye mzushi tu Hana loloteKama Tony Kapola alijaza mtungi wa gesi kwa kuupuliza unafikiri hao jamaa hawakupaa hadi wakafika walikoenda?
Tony na Hananja nilikuwa nawaheshimu lakini baada ya kuupuliza mtungi wa gesi na kuujaza nilimpuuza.Tony naye mzushi tu Hana lolote
Hiyo ya Tony kujaza mtungi wa gesi iliishia wapi? Bado anatoa hiyo huduma?Tony na Hananja nilikuwa nawaheshimu lakini baada ya kuupuliza mtungi wa gesi na kuujaza nilimpuuza.
pia nilipomkuta mchungaji Hananja akinywa chibuku na kulewa tilalila nilimkataa mazima.
Mbona Setfree Kila akiishiwa na gesi anapeleka mtungi wake kwa Tony kisha unapulizwa na unajaa.Hiyo ya Tony kujaza mtungi wa gesi iliishia wapi? Bado anatoa hiyo huduma?
Ushaacha ulokole wako!?Sometimes ndumba zinasave sana.. Nilikuwa online muda wote bila bundle wala vpn😎