Jamii forum hii lol!

Jamii forum hii lol!

Mambo vipi dokta?? Mzima?? Dokta ile dawa imenitibu siku hizi napiga mpaka wengine wanateguka vizazi,nawapiga 6 mpaka saba na lazima wakande au kutembea upande.Nilimkuna mama flani mpaka akanipa laki 5.Vipi uko dar nikurushia hata elf 10?

Aisee..! Hebu nikumbushe ule mchanganyiko mkuu..!
 
Ukiona hivyo ujue una mvuto A+

I don't think I'm bad looking by any measure. I take very good care of myself - I workout on the regular, I got great genes, etc. lakini ambacho sielewi, nitakuwaje na mvuto kwa watu ambao hata hawanijui?

Asilimia 99 ya watu humu hawanijui, hata nikipishana nao njiani hawatanitambua, sasa huo mvuto wameuotoa wapi? Na hata kama nimewahi kumtumia mtu picha, most likely nilimtumia picha ya uongo because I value my privacy that much.

Oh well, it is what it is. I guess it's just one of those things that you can't really put your finger on it.
 
I don't think I'm bad looking by any measure. I take very good care of myself - I workout on the regular, I got great genes, etc. lakini ambacho sielewi, nitakuwaje na mvuto kwa watu ambao hata hawanijui?

Asilimia 99 ya watu humu hawanijui, hata nikipishana nao njiani hawatanitambua, sasa huo mvuto wameuotoa wapi? Na hata kama nimewahi kumtumia mtu picha, most likely nilimtumia picha ya uongo because I value my privacy that much.

Oh well, it is what it is. I guess it's just one of those things that you can't really put your finger on it.

Thru maandishi ya mtu unaweza ukabuild image yake na ukawa sahihi kwa asilimia kubwa Sana.

Napenda wanaume wanaojijali..
 
Oohooo.....wasije wakaanza mambo ya NN na TATIANA sasa:smile-big:

Lazima wasemee humu ndanii, unawatesa wengi hawasemii kazii kupayukaa tu washaachikaa huko wanatafuta mabwana Jamii na Hivi upo US unawasumbuajeee wakufate Pm wakuelezee shida zaoo sio kunipakaziaa miee aiseee
 
Back
Top Bottom