Mmmmmhhhhh hapana simfaham Nyani na wala hanijuiii
Ile thread ya kuponda wabeba box alikuwa anaku support mno kila post nikaona she is loyal to you...
wasalimie uendako mdau!
Okay I guess niliona wrong wayOh lakini mbona wengi tu walikubaliana nami....hata Kiranga alikubaliana nami....Rev. Kishoka naye alikubaliana nami, hata Ablessed, na wengine wengi tu.
Sasa kati ya woooote hao we ukamwona Dina tu? Things that make you go hmmmmmm......
Utakuwaje mme wangu hata sikujuii yarabii wananiuziaa kesii tu hapaaa
Khaaaaaa haki ya mungu..hivi vitunguu uliwezaje kuvikamua kupata maji yake?Mambo vipi dokta?? Mzima?? Dokta ile dawa imenitibu siku hizi napiga mpaka wengine wanateguka vizazi,nawapiga 6 mpaka saba na lazima wakande au kutembea upande.Nilimkuna mama flani mpaka akanipa laki 5.Vipi uko dar nikurushia hata elf 10?
Okay I guess niliona wrong way
Nyani Ngabu mume wa wengiiBossman utaniletea matatizo wewe....au mpaka nikutumie PM nikwmabie utaniletea matatizo ndo uelewe?:smile-big:
Mambo vipi dokta?? Mzima?? Dokta ile dawa imenitibu siku hizi napiga mpaka wengine wanateguka vizazi,nawapiga 6 mpaka saba na lazima wakande au kutembea upande.Nilimkuna mama flani mpaka akanipa laki 5.Vipi uko dar nikurushia hata elf 10?
Mbona umevamia uziiiMambo vipi dokta?? Mzima?? Dokta ile dawa imenitibu siku hizi napiga mpaka wengine wanateguka vizazi,nawapiga 6 mpaka saba na lazima wakande au kutembea upande.Nilimkuna mama flani mpaka akanipa laki 5.Vipi uko dar nikurushia hata elf 10?
Naogopa tindikaliii masafi ya Mtume machafu ya shetaniii,aisee watanifanyaa nimtajeee lakin siwez mtajaaa