Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,105
- 165,329
Hebu ntajie jina la shemeji nikeshe nae pm nambembeleza....
Oh lakini mbona wengi tu walikubaliana nami....hata Kiranga alikubaliana nami....Rev. Kishoka naye alikubaliana nami, hata Ablessed, na wengine wengi tu.
Sasa kati ya woooote hao we ukamwona Dina tu? Things that make you go hmmmmmm......
Mambo vipi dokta?? Mzima?? Dokta ile dawa imenitibu siku hizi napiga mpaka wengine wanateguka vizazi,nawapiga 6 mpaka saba na lazima wakande au kutembea upande.Nilimkuna mama flani mpaka akanipa laki 5.Vipi uko dar nikurushia hata elf 10?
Mbona umevamia uziii
Nyani Ngabu mume wa wengii
Kumbe we ni mdada? Hebu njoo pm tufahamianepole sana! ila mimi naomba kuuliza kwanini waume zetu hawapendi tuingie JF? ukiwa bize na simu utasikia vipi,uko JF?kunani JF?
Weeee uniiibieeee kama omukagameee weeeee nakuogopaaa balaaaaa,!!!!
My Wii pole sana najua ile ndo pumzi yako....mpe vitu adimu msamaha upokelewe
Naunga mkono hoja hii jf ni htr ht mm yalishanikuta nachungulia kdg jf narud wasap mh alisema tu jf ndo kila kitu kwako wengine ni takataka tu pole sana
Ndio vipi hivyo nami nikampe?