Jamii forum hii lol!

Jamii forum hii lol!

we ,Taratibu! ya Dina hayajaisha unataka kuleta mengine!mimi ni mmama na ni married na ni msomi na nimezaliwa na kukulia mjini!andishile maana yake nimepewa na mungu na ni jina la mwanangu!wanangu wana majina ya kubatizwa na ya kilugha! umama beauty au outdated muulize mume wangu!bye

hahahaaaaaaaaaaaaaaaaa mbavu zangu mimi nacheka sana hii thread yanichekesha lool
 
ataelewa bwana mamiii si jana tu kwwnye mtanange wa msiba au kuna aiku nyingine

Jamanii na mie naomba anielewe nimemwambiaa kuanzia leo napunguza kua humuuuu nimjalii tu yeye ndio muhimuuu kwanguuu
 
Ahsanteeeeee

Denazarde hali yangu nayo sio nzuri nadhan sired imeshaonwa,sitaki tena hizi mbichi mimi natokomea aitaki tena kusuta hali ni mbaya ha mmh USIKU MWEMA EVELYN SALT,DINAZARDE,KIM NANA TATIANA,MSHANA JR,ICHANA NA WENGINE,uwiiii naeza nisirudi tena
 
Denazarde hali yangu nayo sio nzuri nadhan sired imeshaonwa,sitaki tena hizi mbichi mimi natokomea aitaki tena kusuta hali ni mbaya ha mmh USIKU MWEMA EVELYN SALT,DINAZARDE,KIM NANA TATIANA,MSHANA JR,ICHANA NA WENGINE,uwiiii naeza nisirudi tena

Polee nawee tenaaa loll Evelyn njoo uonee hiii
 
Last edited by a moderator:
Dawa ni kumlainisha akuelewe mwambie tu ukweli na iman mambo yataenda poa. mume anauma jaman ckupatii picha ulivyo mnyonge
 
Chinekeeeee!!
mwanamke wakujihami hivi haki ya nani hajatulia ila anajifanyisha tu.
Shem (whoever you are)
akili kumkichwa yako.
 
Back
Top Bottom