ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 8,076
- 17,463
Hajui ushavurugwa huyu...Halaf weeeee hujasoma hapo chinii au ndio kunichokozaaa
Hajui ushavurugwa huyu...Halaf weeeee hujasoma hapo chinii au ndio kunichokozaaa
Mmmmh !!!!!!!!!!
aikent biliv
Uwiii na kausafirii sinunuliwii sasaa Hapaaa ntakomajeee maana nimelivurugaaaa
Mwambie shemeji apunguze wivu bana haaaaa
maisha yenyewe haya tabu tupu
Huuu umbeaaa utatokomolaa nakwambiaaa yaan mpaka nikasaha joto languu miee
Nataka serikali tatu miee Faiza
Mmama beauty au mmama outdated? Andishile maana yake nini?
Mwambie shemeji apunguze wivu bana haaaaa
maisha yenyewe haya tabu tupu
we ,Taratibu! ya Dina hayajaisha unataka kuleta mengine!mimi ni mmama na ni married na ni msomi na nimezaliwa na kukulia mjini!andishile maana yake nimepewa na mungu na ni jina la mwanangu!wanangu wana majina ya kubatizwa na ya kilugha! umama beauty au outdated muulize mume wangu!bye
we ,Taratibu! ya Dina hayajaisha unataka kuleta mengine!mimi ni mmama na ni married na ni msomi na nimezaliwa na kukulia mjini!andishile maana yake nimepewa na mungu na ni jina la mwanangu!wanangu wana majina ya kubatizwa na ya kilugha! umama beauty au outdated muulize mume wangu!bye
Lilikuwa swali tu...labda sababu Nimeona mnapendezana ...ni swali tu..