Jamii forum hii lol!

Jamii forum hii lol!

Mwambie jamani huku ndo kuna maufundi yale ninayokupatiaga ila nisamehe bure ctarudia kupitiwa
 
hahhahh shost pole,nimekutafuta leo kutwa sikuoni hahahahahajajhaj uwiiii MAHABA NIPOTETEZE KAMA BALALI HATA JF NISIONEKANE,sasa baada ya kukukosa nikaenda kulea ndoa kidogo narudi sired nakutana nayo mwwee sisi uwaga tunachomoka tunalea kidogo tunarudi
 
Jishushe kosa moja halimfukuzi mke tumia sauti yako ya upole muombe msamaha atakuelewa tuu usikate tamaa ...

Makosaa ni mengii sio mojaa hilii na yote jamii ananisababishiaaa wallah miee nakufaaa bila yeyee
 
Back
Top Bottom