Namshukuru Mkuu Chamoto kwa kunielekeza katika thread hii, maana sikuwa nimeiona.
Nilikuwa naugulia "kichomi" cha Wembley cha Jumamosi iliyopita! Tunajivua gamba. Asante Mkuu Chamoto.
Eqlypz' work
Mimi pia naona katika hizi mbili ya pili ndiyo bomba zaidi. Sababu ("Nalazimisha" kuwajibia pia ambao hawakusema sababu) ni kuwa iko more corporate/serious kuliko ya kwanza japo
huenda ya kwanza imechukua muda zaidi kufanya settings (naona particles!!: cc particleworld/trapcode particular) na lens flares (VC Optical flares). Nice try. Clip ya kwanza inafaa cinematic intros/tv programs intros japo si lazima iwe nilivyosema (creativity is the limit). Zikipatikana sounds/background music bora itakuwa safi zaidi. Honestly, it's challenging to create/get ones but if you do........ superb.
Nice work Eqlypz.
Haya uliyosema ndiyo msingi mkuu wa kazi za sanaa. Vinginevyo kazi huwa ngumu na huenda isionekane kuwa na mtiririko wa mantiki. Labda kwa kukazia tu, ni vizuri artist angalau kwa haraka-haraka alione tangazo atakalotengeneza mawazoni mwake. A-assume analiona kwenye TV na huku amezungukwa na watu, na watu hao wakisema "Ni zuri." Then hizo ideas aziweke katika maandishi (Script) na vizuri zaidi ideas ziwe katika michoro itayoonesha mtiririko wa kazi yake (Storyboard). Marekebisho mengine yatafuatia kadri anavyofanya kazi na anavyopewa inputs toka kwa wadau.
Mhanga mwingine wa hoja zako ni Maxence. Amesema atatembelea jukwaa hili mara kwa mara ili kuona progress. Nadhani ni sahihi zaidi hii "progress" angalau ikapewa directions/focus/scope ili "sisi" tusio na simile tusije tukaja na idea ya
bonge la mamba lenye "magamba kibao" linatafuna forums zote za "majirani!" Japokuwa msanii anatakiwa atumie "commonsense" labda roughly guidelines zingekuwa hivi:
- Tangazo/ad/teaser igusie vision ya JF eg: Ku-promote free/open discussions/ideas/thinking + great think(ers)/(ing)
- Forums/Aina za discussions mbalimbali za JF ziwe portrayed
- No Political/Religious/Ethnic/Racial/Gender bias/discrimination..... "fulani" asionekane kabisa katika video hii...
- Ilete sense/feeling ya .......... (maybe corporate/non-corporate/"philosophical"/ strength/ endurance etc)/cultural/Tzanian background music
- Not more than 1 minute/ 30 seconds etc
- Should(n't)/may include someone narrating (voice-over) na maneno yawe (maybe), "Welcome to JamiiForums, highly acclaimed open discussion forums in Tanzania where great th......................sports, politics, sci &tech............ visit www.jam......" etc
- JF logo should vividly appear at some stage of the clip
- Deadline
That's my thinking, otherwise kazi itakuwa ngumu na ndefu sana. Generally, motion graphic works huchukua muda mrefu kuziandaa/kuzikamilisha. Hivyo prior planning is necessary, truly a must.
Tunavua linarudi tena.
Ni kweli picha za watu/vitu ambavyo vitakuwa mfano/ishara huongeza mvuto......0101000100100010110110 (kama hili ni tusi au pongezi sijui)!
That's good. Hebu cheki maoni yangu nilipomjibu X-PASTER hapo juu.