Jamii Forum: Experimental Videos

Jamii Forum: Experimental Videos

Eqlypz

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2009
Posts
4,065
Reaction score
651
Hii video ya kwanza bado naifanyia experiment especially kwenye gaps ambazo zina plain blue screen na lens flares sijajua nini cha kuweka, naombeni ushauri wenu.


Hii ya pili ni ya zamani kidogo, hizo banners zinazoroll out zilikuwa inspired na opening intro ya Champions League.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu, kabla ya kutengeneza video, unapaswa uandike idea zako...! Nina maanisha uandike nini unataka kukieleza kwenye tangazo lako.
Panga maneno, ambayo umedhamiria kuyaweka kwenye tangazo, panga audio (sound) ambazo unataka kuzitumia kwenye tangazo lako, na uku ukizingatia walengwa wa ilo tangazo lako... Mfano: Umewalenga Wakulima, Waganyakazi, Wafanyabiashara, Wanasiasa, Vijana au Wazee.

Kwa ufupi kila scene inatakiwa iwe na maelezo... Maelezo ambayo ukimpa mtu mwingine yamsaidie kutengeneza tangazo kama lile ambalo wewe umetengeneza.
 
Mkuu, kabla ya kutengeneza video, unapaswa uandike idea zako...! Nina maanisha uandike nini unataka kukieleza kwenye tangazo lako.
Panga maneno, ambayo umedhamiria kuyaweka kwenye tangazo, panga audio (sound) ambazo unataka kuzitumia kwenye tangazo lako, na uku ukizingatia walengwa wa ilo tangazo lako... Mfano: Umewalenga Wakulima, Waganyakazi, Wafanyabiashara, Wanasiasa, Vijana au Wazee.

Kwa ufupi kila scene inatakiwa iwe na maelezo... Maelezo ambayo ukimpa mtu mwingine yamsaidie kutengeneza tangazo kama lile ambalo wewe umetengeneza.
Mkuu ahsante kwa ushauri ila hizi clips zilikuwa ni pure experimental especially hiyo ya kwanza, baada ya kuirender na kuona results nimeona sio mbaya nikitweek hapa na pale ili ilete maana.
 
Hiyo ya pili nimeipenda sana. Inaweza kutumika kujitangaza kwenye luninga na hapo ndipo itazidi kuwapa homa wale wasanii walioshindwa kulivua gamba lao.
 
Hiyo ya pili nimeipenda sana. Inaweza kutumika kujitangaza kwenye luninga na hapo ndipo itazidi kuwapa homa wale wasanii walioshindwa kulivua gamba lao.
Yeah ikifanyiwa changes mbili tatu hapa na pale na kuboresha ubora wa background music na sfx za hizo banners zinavyoroll down itafaa.
 
Hiyo ya pili kama utaondoa hiyo background (ARKTEKT MEDIA) na kuweka plane blue itakuwa bomba
 
  • Thanks
Reactions: 3D.
In fact hii project tunaweza kuifanyia kazi watu wote tulio na interest kwenye visual effects.
 
  • Thanks
Reactions: 3D.
Hongera sana, nimeipenda kazi yako, mungu akuzidishie!
 
  • Thanks
Reactions: 3D.
Nafikiri ya pili ni nzuri ila tu, unganisha na mawazo ya X-Paster kuwa ukiweka jukwaa la SIASA, weka picha za wanasiasa, ukiweka za kimataifa, weka sura zinazofahamika kimataifa, ukulima, weka wakulima nk nk....... Kwa sasa imekaa kama vile jukwaa la watu wa IT ambao wao hawaoni Picha wala sura wala herufi ila (O 1 0 1).

Pia ukiweza kutumia FADER na siyo KILL kwenye kubadili picha, huwa ni nzuri sana. KILL inaumiza sana macho kama unaangalia usiku......
 
Wakuu,

Nimefurahi sana kukuta hii kitu hapa, tunatakiwa kuandaa TV commercial ad na naamini kuna wataalam hapa wanaweza kusaidia kuweza kupata the best one tupeleke kwenye TV stations.

Will be visiting this page frequently kujua progress. Kama kuna mtu anaweza kusaidia kuandaa ad nzuri basi tuwasiliane
 
Good kazi mkuu go on...halafu sidhani kama utakubaliwa kwa TV za bongo magamba wanaweza weka hela zaidi ili mradi tu isitangazwe hahahahaha
 
Chini ni intro ya Champions League ambayo nilijaribu kuiemulate, mwanzoni kwenye hiyo bluish screen kabla camera haijashuka chini ya nyota na hizo rolling banners (0.15).
 
Last edited by a moderator:
The second is a good one dawg. Sorry, but have been off vids for a long... think it is about time I got back on board...
 
Namshukuru Mkuu Chamoto kwa kunielekeza katika thread hii, maana sikuwa nimeiona. Nilikuwa naugulia "kichomi" cha Wembley cha Jumamosi iliyopita! Tunajivua gamba. Asante Mkuu Chamoto.

@Eqlypz' work


Mimi pia naona katika hizi mbili ya pili ndiyo bomba zaidi. Sababu ("Nalazimisha" kuwajibia pia ambao hawakusema sababu) ni kuwa iko more corporate/serious kuliko ya kwanza japo huenda ya kwanza imechukua muda zaidi kufanya settings (naona particles!!: cc particleworld/trapcode particular) na lens flares (VC Optical flares). Nice try. Clip ya kwanza inafaa cinematic intros/tv programs intros japo si lazima iwe nilivyosema (creativity is the limit). Zikipatikana sounds/background music bora itakuwa safi zaidi. Honestly, it's challenging to create/get ones but if you do........ superb.

Nice work Eqlypz.

Mkuu, kabla ya kutengeneza video, unapaswa uandike idea zako...! Nina maanisha uandike nini unataka kukieleza kwenye tangazo lako.
Panga maneno, ambayo umedhamiria kuyaweka kwenye tangazo, panga audio (sound) ambazo unataka kuzitumia kwenye tangazo lako, na uku ukizingatia walengwa wa ilo tangazo lako... Mfano: Umewalenga Wakulima, Waganyakazi, Wafanyabiashara, Wanasiasa, Vijana au Wazee.

Kwa ufupi kila scene inatakiwa iwe na maelezo... Maelezo ambayo ukimpa mtu mwingine yamsaidie kutengeneza tangazo kama lile ambalo wewe umetengeneza.

Haya uliyosema ndiyo msingi mkuu wa kazi za sanaa. Vinginevyo kazi huwa ngumu na huenda isionekane kuwa na mtiririko wa mantiki. Labda kwa kukazia tu, ni vizuri artist angalau kwa haraka-haraka alione tangazo atakalotengeneza mawazoni mwake. A-assume analiona kwenye TV na huku amezungukwa na watu, na watu hao wakisema "Ni zuri." Then hizo ideas aziweke katika maandishi (Script) na vizuri zaidi ideas ziwe katika michoro itayoonesha mtiririko wa kazi yake (Storyboard). Marekebisho mengine yatafuatia kadri anavyofanya kazi na anavyopewa inputs toka kwa wadau.

Mhanga mwingine wa hoja zako ni Maxence. Amesema atatembelea jukwaa hili mara kwa mara ili kuona progress. Nadhani ni sahihi zaidi hii "progress" angalau ikapewa directions/focus/scope ili "sisi" tusio na simile tusije tukaja na idea ya bonge la mamba lenye "magamba kibao" linatafuna forums zote za "majirani!" Japokuwa msanii anatakiwa atumie "commonsense" labda roughly guidelines zingekuwa hivi:

  1. Tangazo/ad/teaser igusie vision ya JF eg: Ku-promote free/open discussions/ideas/thinking + great think(ers)/(ing)
  2. Forums/Aina za discussions mbalimbali za JF ziwe portrayed
  3. No Political/Religious/Ethnic/Racial/Gender bias/discrimination..... "fulani" asionekane kabisa katika video hii...
  4. Ilete sense/feeling ya .......... (maybe corporate/non-corporate/"philosophical"/ strength/ endurance etc)/cultural/Tzanian background music
  5. Not more than 1 minute/ 30 seconds etc
  6. Should(n't)/may include someone narrating (voice-over) na maneno yawe (maybe), "Welcome to JamiiForums, highly acclaimed open discussion forums in Tanzania where great th......................sports, politics, sci &tech............ visit www.jam......" etc
  7. JF logo should vividly appear at some stage of the clip
  8. Deadline
That's my thinking, otherwise kazi itakuwa ngumu na ndefu sana. Generally, motion graphic works huchukua muda mrefu kuziandaa/kuzikamilisha. Hivyo prior planning is necessary, truly a must.

Hiyo ya pili nimeipenda sana. Inaweza kutumika kujitangaza kwenye luninga na hapo ndipo itazidi kuwapa homa wale wasanii walioshindwa kulivua gamba lao.

Tunavua linarudi tena.

Nafikiri ya pili ni nzuri ila tu, unganisha na mawazo ya X-Paster kuwa ukiweka jukwaa la SIASA, weka picha za wanasiasa, ukiweka za kimataifa, weka sura zinazofahamika kimataifa, ukulima, weka wakulima nk nk....... Kwa sasa imekaa kama vile jukwaa la watu wa IT ambao wao hawaoni Picha wala sura wala herufi ila (O 1 0 1).

Pia ukiweza kutumia FADER na siyo KILL kwenye kubadili picha, huwa ni nzuri sana. KILL inaumiza sana macho kama unaangalia usiku......

Ni kweli picha za watu/vitu ambavyo vitakuwa mfano/ishara huongeza mvuto......0101000100100010110110 (kama hili ni tusi au pongezi sijui)!

Wakuu,

Nimefurahi sana kukuta hii kitu hapa, tunatakiwa kuandaa TV commercial ad na naamini kuna wataalam hapa wanaweza kusaidia kuweza kupata the best one tupeleke kwenye TV stations.

Will be visiting this page frequently kujua progress. Kama kuna mtu anaweza kusaidia kuandaa ad nzuri basi tuwasiliane

That's good. Hebu cheki maoni yangu nilipomjibu X-PASTER hapo juu.
 
Namshukuru Mkuu Chamoto kwa kunielekeza katika thread hii, maana sikuwa nimeiona. Nilikuwa naugulia "kichomi" cha Wembley cha Jumamosi iliyopita! Tunajivua gamba. Asante Mkuu Chamoto.

Eqlypz' work


Mimi pia naona katika hizi mbili ya pili ndiyo bomba zaidi. Sababu ("Nalazimisha" kuwajibia pia ambao hawakusema sababu) ni kuwa iko more corporate/serious kuliko ya kwanza japo huenda ya kwanza imechukua muda zaidi kufanya settings (naona particles!!: cc particleworld/trapcode particular) na lens flares (VC Optical flares). Nice try. Clip ya kwanza inafaa cinematic intros/tv programs intros japo si lazima iwe nilivyosema (creativity is the limit). Zikipatikana sounds/background music bora itakuwa safi zaidi. Honestly, it's challenging to create/get ones but if you do........ superb.

Nice work Eqlypz.



Haya uliyosema ndiyo msingi mkuu wa kazi za sanaa. Vinginevyo kazi huwa ngumu na huenda isionekane kuwa na mtiririko wa mantiki. Labda kwa kukazia tu, ni vizuri artist angalau kwa haraka-haraka alione tangazo atakalotengeneza mawazoni mwake. A-assume analiona kwenye TV na huku amezungukwa na watu, na watu hao wakisema "Ni zuri." Then hizo ideas aziweke katika maandishi (Script) na vizuri zaidi ideas ziwe katika michoro itayoonesha mtiririko wa kazi yake (Storyboard). Marekebisho mengine yatafuatia kadri anavyofanya kazi na anavyopewa inputs toka kwa wadau.

Mhanga mwingine wa hoja zako ni Maxence. Amesema atatembelea jukwaa hili mara kwa mara ili kuona progress. Nadhani ni sahihi zaidi hii "progress" angalau ikapewa directions/focus/scope ili "sisi" tusio na simile tusije tukaja na idea ya bonge la mamba lenye "magamba kibao" linatafuna forums zote za "majirani!" Japokuwa msanii anatakiwa atumie "commonsense" labda roughly guidelines zingekuwa hivi:

  1. Tangazo/ad/teaser igusie vision ya JF eg: Ku-promote free/open discussions/ideas/thinking + great think(ers)/(ing)
  2. Forums/Aina za discussions mbalimbali za JF ziwe portrayed
  3. No Political/Religious/Ethnic/Racial/Gender bias/discrimination..... "fulani" asionekane kabisa katika video hii...
  4. Ilete sense/feeling ya .......... (maybe corporate/non-corporate/"philosophical"/ strength/ endurance etc)/cultural/Tzanian background music
  5. Not more than 1 minute/ 30 seconds etc
  6. Should(n't)/may include someone narrating (voice-over) na maneno yawe (maybe), "Welcome to JamiiForums, highly acclaimed open discussion forums in Tanzania where great th......................sports, politics, sci &tech............ visit www.jam......" etc
  7. JF logo should vividly appear at some stage of the clip
  8. Deadline
That's my thinking, otherwise kazi itakuwa ngumu na ndefu sana. Generally, motion graphic works huchukua muda mrefu kuziandaa/kuzikamilisha. Hivyo prior planning is necessary, truly a must.



Tunavua linarudi tena.



Ni kweli picha za watu/vitu ambavyo vitakuwa mfano/ishara huongeza mvuto......0101000100100010110110 (kama hili ni tusi au pongezi sijui)!



That's good. Hebu cheki maoni yangu nilipomjibu X-PASTER hapo juu.

Mkuu nilianza kutengeneza hilo la kwanza baada ya kichapo cha Wembley, kuna mtu nilikuwa najadiliana naye pm tulizungumzia background sound kwenye tangazo la forum kama yalivyo matangazo ya websites background sound ni muhimu kama ilivyo kwenye trailers au tangazo lolote. Mawazo yangu, voice over artist(mwenye authoritative voice kama ya James Earl Jones) anaweza kutumika.

Ilo la pili I did put some time into it ukilinganisha na la kwanza, ila yote mawili sikufuata script maalumu wala sikuandika idea yoyote chini kwa sababu mara nyingi uwa naona kitu kwenye tv then naamua kuxperiment. Baadae nitapost add nyingine nilijaribu kutengeneza based on a tunnel kutoka kwenye movie ya Tron, nilianza kutengeza hiyo tunnel baada ya kuiona movie.

Kuhusu sound effects, nina zaidi 20 gb worth of SFX.

Kuweka videos kuna advantages na disadvantages zake, nilifikiria kuweka clips tofauti tofauti lakini kama unavyotujua sisi binadamu ukimweka mtu wa chama, dini, rangi tofauti na fulani basi wapo watakaotumia mwanya huo kusema ile forum iko chini ya huyu na yule. Na ukisema uwaridhishe wote utaishia kujikuta una tangazo refu kuliko ulivyopanga.

Hili chini nimetengeza haraka with JF Logo baada ya kusoma comment yako,
 
Last edited by a moderator:
Lazima nikatize thread hii kila siku. Safi sana wakuu! Creativity @ work
 
Mkuu nilianza kutengeneza hilo la kwanza baada ya kichapo cha Wembley, kuna mtu nilikuwa najadiliana naye pm tulizungumzia background sound kwenye tangazo la forum kama yalivyo matangazo ya websites background sound ni muhimu kama ilivyo kwenye trailers au tangazo lolote. Mawazo yangu, voice over artist(mwenye authoritative voice kama ya James Earl Jones) anaweza kutumika..................

Baadae nitapost add nyingine nilijaribu kutengeneza based on a tunnel kutoka kwenye movie ya Tron, nilianza kutengeza hiyo tunnel baada ya kuiona movie.

Kuhusu sound effects, nina zaidi 20 gb worth of SFX.

Hili chini nimetengeza haraka with JF Logo baada ya kusoma comment yako,

Pole kwa habari ya Wembley. Kupata watu wenye sauti ya kama Jamea Earl Jones (Baba wa Eddie Murphy kwenye Coming to America) na akawa anazungumza Kiingereza kizuri ni kazi kidogo huku kwetu. Yawezekana wapo wanaokaribia kiwango chake. Wadau watasaidia.

Sound Effects (SFX) za 20 gb ni sawa na huna kitu. Namaanisha ni nyingi sana kiasi kwamba kama haujazipanga vizuri huenda usikumbuke ipi iko wapi.

Hiyo clip yenye logo..... uko sharp. Naona fasta umekuja na idea. Kazi nzuri. Ijazie "nyama" sasa. Cha kujazia....... changamsha bongo kwanza, naona kama kichwa yangu haijakaa vizuri kwa sasa. Congrats and all the best. Nikipata muda nitajaribu kurusharusha miguu nije na clip japo ningependa sana kupata rough idea ya requirements toka kwa mods kuliko kuwa general halafu in the end iwe "sivyo tulivyotaka.".
 
Mkuu, kabla ya kutengeneza video, unapaswa uandike idea zako...! Nina maanisha uandike nini unataka kukieleza kwenye tangazo lako.
Panga maneno, ambayo umedhamiria kuyaweka kwenye tangazo, panga audio (sound) ambazo unataka kuzitumia kwenye tangazo lako, na uku ukizingatia walengwa wa ilo tangazo lako... Mfano: Umewalenga Wakulima, Waganyakazi, Wafanyabiashara, Wanasiasa, Vijana au Wazee.Kwa ufupi kila scene inatakiwa iwe na maelezo... Maelezo ambayo ukimpa mtu mwingine yamsaidie kutengeneza tangazo kama lile ambalo wewe umetengeneza.


Mkuu ahsante kwa ushauri ila hizi clips zilikuwa ni pure experimental especially hiyo ya kwanza, baada ya kuirender na kuona results nimeona sio mbaya nikitweek hapa na pale ili ilete maana.


Namshukuru Mkuu Chamoto kwa kunielekeza katika thread hii, maana sikuwa nimeiona. Nilikuwa naugulia "kichomi" cha Wembley cha Jumamosi iliyopita! Tunajivua gamba. Asante Mkuu Chamoto.

@Eqlypz' work


Mimi pia naona katika hizi mbili ya pili ndiyo bomba zaidi. Sababu ("Nalazimisha" kuwajibia pia ambao hawakusema sababu) ni kuwa iko more corporate/serious kuliko ya kwanza japo huenda ya kwanza imechukua muda zaidi kufanya settings (naona particles!!: cc particleworld/trapcode particular) na lens flares (VC Optical flares). Nice try. Clip ya kwanza inafaa cinematic intros/tv programs intros japo si lazima iwe nilivyosema (creativity is the limit). Zikipatikana sounds/background music bora itakuwa safi zaidi. Honestly, it's challenging to create/get ones but if you do........ superb.

Nice work Eqlypz..


Mkuu nilianza kutengeneza hilo la kwanza baada ya kichapo cha Wembley, kuna mtu nilikuwa najadiliana naye pm tulizungumzia background sound kwenye tangazo la forum kama yalivyo matangazo ya websites background sound ni muhimu kama ilivyo kwenye trailers au tangazo lolote. Mawazo yangu, voice over artist(mwenye authoritative voice kama ya James Earl Jones) anaweza kutumika.

Ilo la pili I did put some time into it ukilinganisha na la kwanza, ila yote mawili sikufuata script maalumu wala sikuandika idea yoyote chini kwa sababu mara nyingi uwa naona kitu kwenye tv then naamua kuxperiment. Baadae nitapost add nyingine nilijaribu kutengeneza based on a tunnel kutoka kwenye movie ya Tron, nilianza kutengeza hiyo tunnel baada ya kuiona movie.

Kuhusu sound effects, nina zaidi 20 gb worth of SFX.

Kuweka videos kuna advantages na disadvantages zake, nilifikiria kuweka clips tofauti tofauti lakini kama unavyotujua sisi binadamu ukimweka mtu wa chama, dini, rangi tofauti na fulani basi wapo watakaotumia mwanya huo kusema ile forum iko chini ya huyu na yule. Na ukisema uwaridhishe wote utaishia kujikuta una tangazo refu kuliko ulivyopanga.

Hili chini nimetengeza haraka with JF Logo baada ya kusoma comment yako, .

Pole kwa habari ya Wembley. Kupata watu wenye sauti ya kama Jamea Earl Jones (Baba wa Eddie Murphy kwenye Coming to America) na akawa anazungumza Kiingereza kizuri ni kazi kidogo huku kwetu. Yawezekana wapo wanaokaribia kiwango chake. Wadau watasaidia.

Sound Effects (SFX) za 20 gb ni sawa na huna kitu. Namaanisha ni nyingi sana kiasi kwamba kama haujazipanga vizuri huenda usikumbuke ipi iko wapi.

Hiyo clip yenye logo..... uko sharp. Naona fasta umekuja na idea. Kazi nzuri. Ijazie "nyama" sasa. Cha kujazia....... changamsha bongo kwanza, naona kama kichwa yangu haijakaa vizuri kwa sasa. Congrats and all the best. Nikipata muda nitajaribu kurusharusha miguu nije na clip japo ningependa sana kupata rough idea ya requirements toka kwa mods kuliko kuwa general halafu in the end iwe "sivyo tulivyotaka.".


Eqlyps

By the time hii thread imeisha ni imani yangu nitakua nimejifunza meeeengi
na kupata exposure zaidi.. Thank you Eqlyps.. It is very interesting kupata
knowledge toka kwa mtu mwenye knowledge na kusaka hio knowledge...
Will be following closely... Katika hizo clip nimependa the second one kuliko
the first in fact i thot kua ni experimental in the sense unaandaa the real thing
till when you addressed the X-PASTER's comment...
BRAVO! Keep it up...

3D

3D whenever there is a thread ambayo najua umepita/utapita uhakikisha
my mind is free and fresh for you have so much to share and you give it alll ..
like nimependa saana the outlines you have directed at Maxence.. ina sound
more logical if done that way, maybe itokee another great idea
(as much as they are rough guidelines... inafaa ikichukulia kama basics..)
 
Back
Top Bottom