unprejudiced
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 3,503
- 2,869
CHUKI YAKO DHIDI YA LISSU HAIELEZEKI ILA UTASHINDWA NA KUAIBIKA!
Hivi katika mawakili wa Tz watatu. Yupo Lissu. Wapiga kelel anaweza kuwepo. Mnapojudge Watu muwe na vigezo sio. Unaanza na kadi ya chadema Afu ndo unaanza kutoa hoja. Embu nambieni hapa Lisu mtetezi wa mnyonge gani. Lowassa au accacia. Naomba nianze na ile hadithi ya Lowassa. Please.