James Orengo vs Tundu Lissu

James Orengo vs Tundu Lissu

Eloquent PLO credebility plunges to zero. Eti petition dead on arrival.
That is the risks of getting involved in political manoeuvrings. We have examples here at our homeland; Where is the famous Lamwai? Gently, Shivji was getting into it with his supposed reasoning on the Katiba thing.
 
Wewe jua kitu kimoha tu James Orengo alikuwa na kesi rahisi sana ,kesi za uchaguzi hazijawahi kuwa ngumu maana mara nyingi ushaidi wake uko wazi tu kumfananisha Orengo na Lissu kwa kikesi cha wevi wa kura ninkumvunjia heshima .
Chukulua mfano Jecha na watu wake wangepelekwa mahamani na maaalim seif (sio wakili wa cufbalu seif peke yake )unafikiri shein angekuwa rais?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata huyo orengo angekuwa mwanasiasa angekuwa tofauti kwenye majukwaa ya kisiasa, mahakamani Tundu Lissu utamtamani sana na pengine kwa sababu umesema hujawahi kumuona mahakamani

Sent using Jamii Forums mobile app
Kesi za uchaguzi hazijawahi kuwa ngumu hata siku moja !
Siyo kumtamani mwanaume mwenzake ila mtu anakuwa inspired na ueledi pamoja utaalamu wa mtu mwingine anapofanya mambo makubwa na ya maana awe mwanaume awe mwanamke haijalishi...
tatizo watu saa zote mnakaa kuwaza mambo ya kishogashoga tu..

Hilo jembe hapo chini ni noma....

View attachment 579784


Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wabongo tunaishi kimagumashi sana,mbona hapo awali hamkuwahi kumfananisha huyo Olengo na Lisu?au hapo awali hakuwepo?
 
Nimeanza kumfuatilia James Orengo siku nyingi sana Mkuu na nadhani kumfananisha na Tundu Lissu utakuwa unamkosea mno Heshima ( James Orengo ) ila ninachoweza kusema ni kwamba Tundu Lissu ndiyo anamuiga na bado ana mengi sana ya kujifunza kutoka kwa ' Mwanamume ' James Orengo.

Zifuatazo ni Sifa zake James Orengo ambazo kwa ukizitafuta kwa Tundu Lissu unaweza usizipate leo wala kesho au hata zisiwepo kabisa:

  1. James Orengo ana akili za kuzaliwa siyo za kuzikuta shuleni au ukubwani.
  2. James Orengo alienda Shuleni kupata maarifa mengi na siyo Kuelimika tu.
  3. James Orengo si Mtu wa Kukurupuka bali ni Mtu makini na mwenye kupima jambo Kwanza.
  4. James Orengo ana nidhamu hasa ya Kisheria na huwa si Mkaidi mbele ya Sheria za nchi na Mamlaka.
  5. James Orengo tokea akiwa anasoma Chekechea hadi University alikuwa wa Kwanza / anaongoza tofauti wa wengine ambao wamekuja kuwa wa Kwanza kwa Kubahatisha tu wakiwa Mlimani / School of Law.
  6. James Orengo hana rekodi yoyote ile ya uwendawazimu kama ambavyo Wanasheria wengine sehemu mbalimbali duniani inasemekana waliwahi kuwa na uwendawazimu uliotukuka.
  7. James Orengo huwa hafanyi Uanaharakati bali anafanya Siasa safi na zenye mashiko.
Kumfananisha James Orengo na Tundu Lissu ni sawa na leo hii utake kumfananisha Kocha Jose Mourinho ( James Orengo ) wa Chelsea ya Uingereza na Kocha Jamhuri Kihwelo ( Tundu Lissu ) wa Dodoma Kombaini ya Dodoma Tanzania. Wapi na wapi?

Bado sijaona kama James Orengo hapa East Africa.

Rubbish,nonsense, , We bilashaka utakuwa delicious
 
Naona wana similar characteristic na Lissu, activist! Alikuwa na ujasiri wa ajabu sana mpaka kuweza kumchallenge Moi.

Orengo siku zote anapigania maslai ya Wakenya, Lissu recently nashindwa kumwelewa. But I think in one way or another Orengo anaweza kuwa role model wa Lissu, hasa hapo kwenye uthubutu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lisu wakawaida sana...believe me am a lawyer...is ain't best.

Akiwa courtin ana mbwembwe kama kawida yake...unavyo muona nje na ndani ndo hivyo hivyo ispokua anaiheshmu mahakama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu bwana kajizolea sifa lukuki kwa wakenya na wapenda sheria wote duniani. Imefikia mpaka Watanzania wanamfananisha na Mwanasheria machachari Tundu Lissu..

Sijawahi kumshuhudia Lissu akiwa mahakamani, ila nimemwona Orengo, jamaa is very calm and calculated. Anaongea kwa tone ambayo kila mmoja atashawishika kumsikiliza, sijui Lissu akiwa mahakamani anakuaje, lakini kama anaongea kwa ile tone ya bungeni na kwenye mikutano ya kisiasa naona wazi Lissu atakuwa na weakness fulani.

Ningependa mpitie hili andiko ambalo limempa Orengo sifa lukuki na ni kwanini ameshinda hii kesi akiwagalagaza SC wengine wanne..

Five ways James Orengo has proved to be brilliant lawyer

JE NI HAKI KUMFANANISHA ORENGO NA LISSU? Naomba vijana wa siasa mkae pembeni ningependa kujibiwa na wanasheria na watu wenye uzoefu na mahakama..

Sent using Jamii Forums mobile app
Lumumba PLO alitoa english yake ngumu nadhani majaji hawakumuelewa...kama...anaongea kingereza au kilugha wakabaki kalamu haziandiki
 
Naona wana similar characteristic na Lissu, activist! Alikuwa na ujasiri wa ajabu sana mpaka kuweza kumchallenge Moi.

Orengo siku zote anapigania maslai ya Wakenya, Lissu recently nashindwa kumwelewa. But I think in one way or another Orengo anaweza kuwa role model wa Lissu, hasa hapo kwenye uthubutu..

Sent using Jamii Forums mobile app


..wanafanana kwa mambo mengi.

..wote wanajulikana kwa misimamo yao mikali.

..ni wanaharakati wa muda mrefu. Orengo miaka 40+ na Tundu miaka 20+.

..Kenya walianza harakati zao kabla yetu waTz.

..wote hulaumiwa mara kwa mara kwa kutumia lugha za kuudhi na kutokuheshimu "mamlaka."

..Orengo amepata kuwekwa rumande mara kadhaa, kubambikiwa kesi za uongo,na hata kulazimika kuishi uhamishoni[Tz,Ug,Zimb].

..TL naye amekuwa kama mwenyeji ktk rumande mbalimbali za jeshi la polisi. Amebambikiwa kesi nyingi. Pia amewahi kuishi nje ya nchi. Sina uhakika ni kwa mapenzi yake au kukimbia usumbufu wa dola.

..Wote ni viongozi wa kisheria wa vyama vyao.

..Ni wanasheria. Na wake zao pia ni wanasheria.
 
Acha kumwaga sifa kwa wasiostahili. Umezaliwa lini? Nchi hii kuna watu walijitoa muhanga hata kutumia nguvu. Wengine kwa hoja ktk mazingira magumu ya kisiasa kuliko leo hii. Huyu Lissu bila ushabiki, siyo wa maana kiasi hicho! Unaweza kusoma? Tafuta majina haya: Che Mponda, Marando, Mtikila, Farther Tom, Hatty McGhee ...
Hao wamekufa au wameishiwa nguvu mawazo yako unataka wote tukunjie mikia matakoni siyo?
 
..kwa kweli kuna parallel kubwa baina ya James orengo Na Tundu Lissu....binafsi nafurahi sana nikiona tunaweza ku draw hizi parallel Kati ya magwiji hawa wa sheria Na siasa za upinzani....
...kuna parallel moja mleta mada umesahau kuwafananisha....nayo ni level za elimu zao Na vyuo walivyosomea sheria ...ukiwasoma vema utagundua kuwa hawa wala si madaktari wa sheria(PhD holders)...bali wamefika hapo malipo kwa degree zao moja moja tu za sheria.....Na wamezipatia kwenye vyuo vya nyumbani kwao....Na wote wamewahi kuwa viongozi wa wenzao tangu vyuoni....hii ni uniqueness inayowatofautisha Na wanasheria wenzao wote east Africa...

...jingine ni kuwa wote wamejipambanua pia kama wanaharakati(activists)..Na wote ni wabunge wa kuchaguliwa...

....nitafurahi kuona siku moja Lissu anagombea urais tz....dhidi ya mkulu JPM...Nami nitampigia debe Lissu kwa nguvu zote....hakuna kama yeye tz....
 
Orengo ana practice profession kwenye conducive platform. Ni rahisi kuwa cool and collected, Tundu Lissu ana drive kwenye rough road, mahala ambapo mahakama inaelekezwa na Rais!

Orengo anaendesha magari ya formula one.

Ni kama Lamwai, uzuri wote kwenye sheria miccm ikatoa mashindanoni.

Orengo akitia pua Paris - Dakar rally anajitoa mapemaa!
Kwa mfano huu mleta mada kama hajakuelewa basi aanze upya kuimba ule wimbo wetu.

"PAMBANA NA HALI YAKO"
 
Back
Top Bottom