James Orengo vs Tundu Lissu

James Orengo vs Tundu Lissu

Ni wazi huwajui wote, Lissu au James Orengo.

Eti East Africa hujaona kama James Orengo we we unawajua lawyers wote?

Hujui hata aina ya siasa anazofanya Orengo. Wapo senior councils wengine moto hapo hapo Kenya kuliko Orengo.

Watu wengi wanahisi Orengo ni Counsel ambaye amewakilisha tu NASA wasichojua ni kwamba hapo anatetea chama chake kama Senator kama ambavyo Lissu hufanya kwa kesi za Chadema.
Lakini pia kuwalinganisha watu Hawa tunahitaji kuwa na mambo kadhaa ya kuangalia. Kwa mfano: Orengo alisoma zamani na amefanya kazi za kisheria na kisiasa muda mrefu kuliko Tundu Lisu ambaye wakati mwenzake anamaliza chuo kikuu yeye hata kuanza shule pengine ilikuwa bado au ndiyo anaanza la kwanza.
Pili Kenya wako na taratibu bora za kazi na kuna kuheshimiana zaidi ya hapa Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii biography unayotoa umeipata wapi? Sisi tusiokuwa naye bedroom tutayajuaje hayo au tukuamini vipi wakati siku zote tunamuona akipayuka na mitusi hadi kwenye press conferences!
Kila mTZ anaeleweka kwa jinsi anavyoonekana na kueleweka hadaharani. Siyo mambo ya familia sijui misibani anafanya hivi! Oooh michango ya harusi anatoa, akilia machozi yanatoka, bhla-bhla.......!
Ndio maana mtoa mada amesema kila mtu aseme kwa mtazamo wake,huo ulikuwa wangu,na huo uliotoa wewe ni mtazamo wako...Si ugomvi,ni majadiliano.Na majadiliano ya kiungwana ni kukubaliana kutokukubaliana
 
..lakini waandishi wanasema James Orengo wa kwenye majukwaa ya siasa ni tofauti na yule aliyeonekana mahakamani.

..mazingira ya mjadala, kuanzia na hoja iliyoko mezani, weledi wa wanaoshiriki mjadala husika, pamoja na busara na maadili ya muongoza mjadala, yana athari kubwa ktk jinsi ambavyo washiriki wa mjadala huo wata-behave.

..JAMES ORENGO ukimpeleka kwenye bunge la Tz linaloongozwa na SPIKA asiyetenda haki kama NDUGAI anaweza ku-behave tofauti kabisa na yule uliyemuona mahakamu kuu ya Kenya.

..Hata TL ukimuweka ktk mazingira ambayo HAKI inatendeka nina hakika atajenga hoja zake kwa utulivu.
Mkuu ahsante.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimewahi kaa na mawakili kadhaa,wanasema Tundu lissu ni 'extraordinary bright',sasa ukiona wanasheria wenzake wanasema hivyo lazima ujue jamaa sio wa mchezo mchezo.Angalia hata thread nyingi zilizomo humu jamii forum mtu anayeongelewa sana kuliko wote ni Tundu Lissu tu
 
Nimewahi kaa na mawakili kadhaa,wanasema Tundu lissu ni 'extraordinary bright',sasa ukiona wanasheria wenzake wanasema hivyo lazima ujue jamaa sio wa mchezo mchezo.Angalia hata thread nyingi zilizomo humu jamii forum mtu anayeongelewa sana kuliko wote ni Tundu Lissu tu
Humu JF bhana kila mtu na wkt wake, kuna kipindi Lowassa anavuma, JPM, Mbowe, Zitto, Slaa na sasa ni Lissu.

Nahisi mpk 2020 atakuwa lissu

aeiou
 
Siyo kumtamani mwanaume mwenzake ila mtu anakuwa inspired na ueledi pamoja utaalamu wa mtu mwingine anapofanya mambo makubwa na ya maana awe mwanaume awe mwanamke haijalishi...
tatizo watu saa zote mnakaa kuwaza mambo ya kishogashoga tu..

Hilo jembe hapo chini ni noma....

View attachment 579784


Sent using Jamii Forums mobile app
Namkubali Orengo na si kwa hili la juzi, siku nyingi tu. Sifa mojawapo kuu ya Arengo ni uaminifu wake kwa chama chake na kwa kiongozi wake na kukubali kuwa mshauri wake mkuu wa Kisheria. Hana tamaa, hana maringo ya kisomi, hana dharau kwa wengine.Anaheshimika hata na wenzake hata na hao aliokuwa nao mahakamani wakijadili kesi yao.
 
Huyu bwana kajizolea sifa lukuki kwa wakenya na wapenda sheria wote duniani. Imefikia mpaka Watanzania wanamfananisha na Mwanasheria machachari Tundu Lissu..

Sijawahi kumshuhudia Lissu akiwa mahakamani, ila nimemwona Orengo, jamaa is very calm and calculated. Anaongea kwa tone ambayo kila mmoja atashawishika kumsikiliza, sijui Lissu akiwa mahakamani anakuaje, lakini kama anaongea kwa ile tone ya bungeni na kwenye mikutano ya kisiasa naona wazi Lissu atakuwa na weakness fulani.

Ningependa mpitie hili andiko ambalo limempa Orengo sifa lukuki na ni kwanini ameshinda hii kesi akiwagalagaza SC wengine wanne..

Five ways James Orengo has proved to be brilliant lawyer

JE NI HAKI KUMFANANISHA ORENGO NA LISSU? Naomba vijana wa siasa mkae pembeni ningependa kujibiwa na wanasheria na watu wenye uzoefu na mahakama..

Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseee wewe mzima kweli.... Yaani unamlinganisba Orengo na Lisu... Duuuh kweli wewe humjui Jimyyy Nyatieng

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeshawahi kusikia Tundulissu kashindwa kesi??
Huyu bwana kajizolea sifa lukuki kwa wakenya na wapenda sheria wote duniani. Imefikia mpaka Watanzania wanamfananisha na Mwanasheria machachari Tundu Lissu..

Sijawahi kumshuhudia Lissu akiwa mahakamani, ila nimemwona Orengo, jamaa is very calm and calculated. Anaongea kwa tone ambayo kila mmoja atashawishika kumsikiliza, sijui Lissu akiwa mahakamani anakuaje, lakini kama anaongea kwa ile tone ya bungeni na kwenye mikutano ya kisiasa naona wazi Lissu atakuwa na weakness fulani.

Ningependa mpitie hili andiko ambalo limempa Orengo sifa lukuki na ni kwanini ameshinda hii kesi akiwagalagaza SC wengine wanne..

Five ways James Orengo has proved to be brilliant lawyer

JE NI HAKI KUMFANANISHA ORENGO NA LISSU? Naomba vijana wa siasa mkae pembeni ningependa kujibiwa na wanasheria na watu wenye uzoefu na mahakama..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu bwana kajizolea sifa lukuki kwa wakenya na wapenda sheria wote duniani. Imefikia mpaka Watanzania wanamfananisha na Mwanasheria machachari Tundu Lissu..

Sijawahi kumshuhudia Lissu akiwa mahakamani, ila nimemwona Orengo, jamaa is very calm and calculated. Anaongea kwa tone ambayo kila mmoja atashawishika kumsikiliza, sijui Lissu akiwa mahakamani anakuaje, lakini kama anaongea kwa ile tone ya bungeni na kwenye mikutano ya kisiasa naona wazi Lissu atakuwa na weakness fulani.

Ningependa mpitie hili andiko ambalo limempa Orengo sifa lukuki na ni kwanini ameshinda hii kesi akiwagalagaza SC wengine wanne..

Five ways James Orengo has proved to be brilliant lawyer

JE NI HAKI KUMFANANISHA ORENGO NA LISSU? Naomba vijana wa siasa mkae pembeni ningependa kujibiwa na wanasheria na watu wenye uzoefu na mahakama..

Sent using Jamii Forums mobile app
Orengo umemsikia Mahakamani,
Lissu hujamsikia Mahakamani,
Unawezaje kuwafananisha??
Pili kwani kinachompa Credit wakili ni tone yake au uwezo wake wa kujenga hoja??
 
Lissu anachokosea ni kutojua wapi pa kupigania. Anawafundisha watu kuopambana na Magu badala na mfumo wa siasa zetu.

Unalinganisha damu na tui hapa.

So unakiri mfumo ni mbovu maana hata Dereva Wa Lori ni Lerner
 
Gwiji na nguli wa TL anafanya ktk mazingira yenye maagizo kutoka juu na bado anashinda. Tundu level yake ni ya Kidunia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Orengo umemsikia Mahakamani,
Lissu hujamsikia Mahakamani,
Unawezaje kuwafananisha??
Pili kwani kinachompa Credit wakili ni tone yake au uwezo wake wa kujenga hoja??
Umesoma uzi ukauelewa? Nimesema wazi sijawahi kumsikia akiwa mahakamani na nikaomba waliowahi watusaidie..

Kwenye communication skills tone ni kitu muhimu sana. Unaweza ukawa na point nzuri sana lakini kama unaongea kwa jazba unaweza usieleweke..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Orengo huwezi kumfananisha Na 2ndu, maana 2ndu huwezikumtofautisha akiwa anaongea ili kujua yuko mjengoni au kwa court!! Lkn huwezi jua yupo jukwaani au anaongea Na midia maana kafundishwa kupinga, labda akiwa nyumbani ndo utagundua maana huzibitiwa Na mkewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Orengo ametia fora kwenye mazingira ambapo weledi wa sheria unazingatiwa pasipo na utamaduni wa mahakama kutii amri kutoka juu.

Orengo huyu huyu aje amtetee mtu ( Mpinzani) kwenye hivi vimahakama vya hapa kama hawajamgeuza kanjanja.

Kwa nchi ambayo mahakama zake zinadai haziwezi kuingilia mhimili mwingine, sasa unategemea hata kama ungemleta Orengo akutetee, unategemea angefanya muujiza gani?

Judicial System yetu inakuwa controlled na the Executive kiasi kwamba haki haiwezi kupatikana ktk kesi ambayo serikali ina maslahi nayo kama ile ya Cuf.

Angalia utaratibu wetu wa ku-recruit Judges ulivyo mbovu kiasi kwamba tumekuwa na majaji ambao kama utaratibu wa vetting and interview by panel of eminent persons, ungefuatwa, hao watu wasingeukwaa u-jaji!

Na hii ndo maana hata foreign investors kwenye mikataba yao wanaamua arbitration yoyote ifanyikie Ulaya kwa sababu mahakama zetu ni state controlled.

Hivyo hata Lisu na Kibatala ndio ungewapeleka kwenye Supreme Court of Kenya, huenda wange-perform vizuri hata kuliko akina Senator James Orengo, George Oraro na Ottiende Amollo.
 
Ndio maana mtoa mada amesema kila mtu aseme kwa mtazamo wake,huo ulikuwa wangu,na huo uliotoa wewe ni mtazamo wako...Si ugomvi,ni majadiliano.Na majadiliano ya kiungwana ni kukubaliana kutokukubaliana
Ninachojitahidi kufanya ktk maisha yangu ni kuwa mwanafunzi mzuri, basi! Nimesoma mwanzo hadi mwisho wa uzi sioni inapoonyesha kuwa ni mtazamo wako. Kilichoandikwa ni kama biography ya wema wa Lissu. Bahati mbaya yaliyoandikwa ni yale ambayo ni ya binafsi sana! Yanyojulikana kwa wanafamilia.
 
Back
Top Bottom