James Orengo vs Tundu Lissu

James Orengo vs Tundu Lissu

acha fananisha orengo na hiki kisaliti cha ufipa, kinafiki
 
Lissu amewagaragaza serikali mara ngapi mahakamani. Pamoja na sheria zetu mbovu na mfumo mbaya wa utawala, mhimili mmoja kuingilia au kuonyesha dalili ya kuongoza mhimili mwingine. Lissu he is role model among tz loyers

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu acheni upuuzi huyu James Orengo anapinga mafisadi maisha yake yote na anachokipigania kinaonekana,Lissu alishiriki kutengeneza orodha ya mafisadi papa,sasa hivi anawabebea mafaili.Tofauti yao kubwa ni kwamba mmoja ana msimamo wa dhati,mwingine hana msimamo hata robo.
 
Hao wamekufa au wameishiwa nguvu mawazo yako unataka wote tukunjie mikia matakoni siyo?
Nadhani unapoteza muda mwingi hapa bila kujifunza jipya. Hao wamekufa, Akina nani wamekufa? Unaambiwa tafuta majina hayo, wewe unasema wamekufa. Tuko hapa kusifia walio hai ili watusikie?
 
Nadhani unapoteza muda mwingi hapa bila kujifunza jipya. Hao wamekufa, Akina nani wamekufa? Unaambiwa tafuta majina hayo, wewe unasema wamekufa. Tuko hapa kusifia walio hai ili watusikie?
Nijifunze kwa nani? From the cowardice die soft crooks? No Over my dead body may be!!
 
Tundu Antipas Lissu is "Eloquent"...he has legal language anapokuwa mahakamani,na anapokuwa bungeni,he has a "political Language".

Ubaya wa Lissu ni kuwa,maisha yake yote amechagua kuwa upande wa "kupinga" na si "kukubali"...Toka shule ya Msingi,Shule ya upili,chuo,JKT mpaka katika maisha yake ya kila siku,amechagua kuwa "upande wa wachache wasio na sauti"

Upande wa wachache huwa hauna sifa,ni upande wa kufitiniwa na kuhujumiwa...Zaidi ya lugha ya kimahakama,nje ya siasa na sheria,Tundu Lissu ni mtu muungwana sana,ana lugha nzuri na si mtu wa kisasi wala hasira za haraka!!

Kuna wakati ukikaa na Lissu kuongelea maisha na familia,unaweza kujiuliza,hivi huyu ndio Lissu wa Bungeni?
Kwanza hongera sana kwa analysis nzuri sana ya Lissu.

Ila hicho unachosema "ubaya wa Lissu" mimi nadhani siyo ubaya. kama vile ambavyo naturally wapo watu ambao lazima wakubaliane na utawala simply because ni utawala, au watu ambao wanapenda kukubaliana na wengi, basi ni vema tukawa na watu ambao wako upande wa "wachache, wanaofitiniwa na kuhujumiwa". hiyo ni natural selection ya Mungu, ni namna ya "ecosystem".
 
..Tundu Lissu akiongea ktk mazingira ya amani na utulivu yasiyo na figisu-figusu.

..ukimuangalia ktk hotuba yake atajua kwamba ni hotuba aliyoiandaa mwenyewe.

..zaidi utaona jinsi ambavyo amemtendea haki marehemu Sitta.

..hakumshutumu marehemu, na zaidi hakumpa sifa za uongo.




cc FisadiKuu

Nimeingalia hiyo clip na nimejikuta machozi yakinutoka.

The Great Tundu Lissu
 
..mjadala huu unapaswa kupitiwa upya.

..kama James Orengo anafanana na Tundu Lissu.
 
Huyu bwana kajizolea sifa lukuki kwa wakenya na wapenda sheria wote duniani. Imefikia mpaka Watanzania wanamfananisha na Mwanasheria machachari Tundu Lissu..

Sijawahi kumshuhudia Lissu akiwa mahakamani, ila nimemwona Orengo, jamaa is very calm and calculated. Anaongea kwa tone ambayo kila mmoja atashawishika kumsikiliza, sijui Lissu akiwa mahakamani anakuaje, lakini kama anaongea kwa ile tone ya bungeni na kwenye mikutano ya kisiasa naona wazi Lissu atakuwa na weakness fulani.

Ningependa mpitie hili andiko ambalo limempa Orengo sifa lukuki na ni kwanini ameshinda hii kesi akiwagalagaza SC wengine wanne..

Five ways James Orengo has proved to be brilliant lawyer

JE NI HAKI KUMFANANISHA ORENGO NA LISSU? Naomba vijana wa siasa mkae pembeni ningependa kujibiwa na wanasheria na watu wenye uzoefu na mahakama..

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu kama kina Tundu Lisu ni wachache sana duniani
 
Tundu Antipas Lissu is "Eloquent"...he has legal language anapokuwa mahakamani,na anapokuwa bungeni,he has a "political Language".

Ubaya wa Lissu ni kuwa,maisha yake yote amechagua kuwa upande wa "kupinga" na si "kukubali"...Toka shule ya Msingi,Shule ya upili,chuo,JKT mpaka katika maisha yake ya kila siku,amechagua kuwa "upande wa wachache wasio na sauti"

Upande wa wachache huwa hauna sifa,ni upande wa kufitiniwa na kuhujumiwa...Zaidi ya lugha ya kimahakama,nje ya siasa na sheria,Tundu Lissu ni mtu muungwana sana,ana lugha nzuri na si mtu wa kisasi wala hasira za haraka!!

Kuna wakati ukikaa na Lissu kuongelea maisha na familia,unaweza kujiuliza,hivi huyu ndio Lissu wa Bungeni?
Pia ubaya wa Tundu Lissu ni kusimama ktk Haki, Ukweli na ni mpenzi wa Amani kwa wote. Hivyo ndivyo dunia inaweza kumwelezea Tundu Lissu.
 
Lisu nimemwona kama mtu wa haki sana na kufuata sheria.

Ndio maana kesi zinazomhusu nyingi anashinda kwa ushind

Ila watu wengi wasiofaham sheria wanaweza wasimwelewe.

Ukitaka kumwelewa sikiliza hoja yake tangu mwanzo utamwelewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Itikadi za huyu mwamba zimenipa mafanikio sana. Mimi sio mwanasheria lakini ukichagua kuwa Bright na Mchapa kazi kama Lissu utafanikiwa sana.

Imagine mtu anaweza kusimamia kesi zaidi ya 100 kwa mwaka mmoja na zote akashinda na zote akahudhuria bila kuathiri shughuli zingine.

Hii sio upendeleo. Ni Karama.
 
Back
Top Bottom