Ki CCM CCM inaitwaje?Nyama na mifupa ndio inaitwaje kibuchabucha?
Cha dog?
Ki CCM CCM inaitwaje?Nyama na mifupa ndio inaitwaje kibuchabucha?
Cha dog?
Mchanganyiko!Ki CCM CCM inaitwaje?
Mwenyekiti wa chama cha Nccr Mageuzi James Mbatia leo ameitisha waandishi wa habari na kumuwakia vikali rais Samia kutokana na upandaji holela wa bei huku rais akiwa amekaa kimya bila kuingilia kati.
Mbatia amehoji huu upandaji wa bei unalenga kumunufaisha nani ikiwa wanyonge wa nchi hii wanateseka bila kutetewa na viongozi.
Pia amesema haiwezekani serikali ya awamu ya kwanza isumbuliwe na upungufu wa sukari na serikali ya awamu ya 6 ambayo imepatikana baada ya miaka 60 nayo isumbuliwe na tatizo la sukari lazima kutakuwa na tatizo la kiuongozi.
My take.
Ni Mbatia huyuhuyu alisema mama anatuponya majeraha ,anaupiga mwingi.
Leo hata mwaka haujaisha anamuwakia tena kwamba Tanzania haina kiongozi?
Hivi tutaacha lini unafiki?
Nchi hii mambo ya utawala yana cost kuliko budget ya maendeleo ya yet wanasiasa wanataka mikoa na wilaya ziongezwe naunga mkono hoja mikoa na wilaya zipunguzwe na serikali iongeze budget ya maendeleoTufanye yafuatayo;tshs yetu tuipandikize kwenye BWP na tuondoe kwenye mzunguko noti zote za kuanzia 1000 hadi 10 000(tubakiwe na 100 tu,hili linawezekana Zambia walifanya hili)extra taxes kuhusiana na bei ya mafuta ziondolewe na zibakizwe zile muhimu tu,watumiaji wa barabara tujenge road tolls ili gharama za hizi barabara zipatikane humo;free market tuimarishe ila tulinde viwanda vya ndani;serikali yetu ni kubwa mno we just need 15 Departments;mikoa 20 tu na wilaya 70 tu,wananchi wanahitaji services delivery sio utitiri wa wilaya na mwisho tufanye kazi kwa uadilifu!TRA na TBS ya sasa ni vikwazo mno kwa wajasiria mali ni super bussiness people's wanaonufaika na taasisi hizi.
Ulishawahi kusafiri kuja makao makuu ya mkoa wa Morogoro ukiwa unatokea Malinyi? UlijisikiajeNchi hii mambo ya utawala yana cost kuliko budget ya maendeleo ya yet wanasiasa wanataka mikoa na wilaya ziongezwe naunga mkono hoja mikoa na wilaya zipunguzwe na serikali iongeze budget ya maendeleo
aliahidiwa na mwendazake, kiongozi wewe kumbe hujui mengi yanayoendelea nchi hii eee, unafikiri wale wabunge COVID 19 wapo bungeni kimakosa?Alikwambia ameahidiwa u-KUB?
Wachaga siyo wa kuwaamini labda yule Augustino Lyatonga Mrema!
Mwenyekiti wa chama cha Nccr Mageuzi James Mbatia leo ameitisha waandishi wa habari na kumuwakia vikali rais Samia kutokana na upandaji holela wa bei huku rais akiwa amekaa kimya bila kuingilia kati.
Mbatia amehoji huu upandaji wa bei unalenga kumunufaisha nani ikiwa wanyonge wa nchi hii wanateseka bila kutetewa na viongozi.
Pia amesema haiwezekani serikali ya awamu ya kwanza isumbuliwe na upungufu wa sukari na serikali ya awamu ya 6 ambayo imepatikana baada ya miaka 60 nayo isumbuliwe na tatizo la sukari lazima kutakuwa na tatizo la kiuongozi.
My take.
Ni Mbatia huyuhuyu alisema mama anatuponya majeraha ,anaupiga mwingi.
Leo hata mwaka haujaisha anamuwakia tena kwamba Tanzania haina kiongozi?
Hivi tutaacha lini unafiki?
Yuko bize kumtetea Makamba
Tufanye yafuatayo;tshs yetu tuipandikize kwenye BWP na tuondoe kwenye mzunguko noti zote za kuanzia 1000 hadi 10 000(tubakiwe na 100 tu,hili linawezekana Zambia walifanya hili)extra taxes kuhusiana na bei ya mafuta ziondolewe na zibakizwe zile muhimu tu,watumiaji wa barabara tujenge road tolls ili gharama za hizi barabara zipatikane humo;free market tuimarishe ila tulinde viwanda vya ndani;serikali yetu ni kubwa mno we just need 15 Departments;mikoa 20 tu na wilaya 70 tu,wananchi wanahitaji services delivery sio utitiri wa wilaya na mwisho tufanye kazi kwa uadilifu!TRA na TBS ya sasa ni vikwazo mno kwa wajasiria mali ni super bussiness people's wanaonufaika na taasisi hizi.
Yuko bize kumtetea Makamba
Sababu chadema ni magaidiMbatia
Lipumba
Cheyo
Ni CCM (b)
Maneno hayo hayo aliyoongea Mbatia angeyasema kiongozi wa Chadema gesi la poris lingetuma Lory mbili zilizojaa Askari wenye silaha za kivita kumkamata.
Mwenyekiti wa chama cha Nccr Mageuzi James Mbatia leo ameitisha waandishi wa habari na kumuwakia vikali rais Samia kutokana na upandaji holela wa bei huku rais akiwa amekaa kimya bila kuingilia kati.
Mbatia amehoji huu upandaji wa bei unalenga kumunufaisha nani ikiwa wanyonge wa nchi hii wanateseka bila kutetewa na viongozi.
Pia amesema haiwezekani serikali ya awamu ya kwanza isumbuliwe na upungufu wa sukari na serikali ya awamu ya 6 ambayo imepatikana baada ya miaka 60 nayo isumbuliwe na tatizo la sukari lazima kutakuwa na tatizo la kiuongozi.
My take.
Ni Mbatia huyuhuyu alisema mama anatuponya majeraha ,anaupiga mwingi.
Leo hata mwaka haujaisha anamuwakia tena kwamba Tanzania haina kiongozi?
Hivi tutaacha lini unafiki?
Wewe humwamini Lyatonga?!Bwashee mbege uliyokunywa leo imechacha
Hatuongelei JPM, tunaongelea maisha kupandaJPM aliikuta sukari 1,200 akaicha 2,800 sielewi mnaongelea sukari gani
Shida sio kusafiri serikali ipeleke huduma za muhimu ikiwezekana katani Raia wapate huduma zote za msingi sio kusafiri Hadi wilayani na kugawa vi portion vya nchi na gharama zinakuwa kubwa kwenye administration kuliko maendeleoUlishawahi kusafiri kuja makao makuu ya mkoa wa Morogoro ukiwa unatokea Malinyi? Ulijisikiaje
Kuna shida lazima uende hospital ya mkoa au ukachukue kibali kwa mkuu wa mkoaShida sio kusafiri serikali ipeleke huduma za muhimu ikiwezekana katani Raia wapate huduma zote za msingi sio kusafiri Hadi wilayani na kugawa vi portion vya nchi na gharama zinakuwa kubwa kwenye administration kuliko maendeleo