James Mbatia amuwakia vikali Rais Samia, asema nchi haina uongozi

Tuambie siku ccm walisifia ya wapinzani.
CCM wanawasifia kimya kimya kwenye vikao vyao vya ndaani ndani huko na kutuma kina pole pole na Makonda kwenda kuwanunua.
Angalia wote waliorubuniwa na kujiunga na CCM Ni watu waziri mpaka wanapewa madaraka makubwa serikalini. Mitano michache.
1. Yule mpenda bia baridi
2. Sidiriande
3. Tumbili
4. Jamaa yake tumbili
5. Jotokali
6. Mkuu wa wilaya moja pembezoni
7. Mzee mdee and co.
8. Kikumbo
 
Mwenyekiti wa chama cha Nccr Mageuzi James Mbatia leo ameitisha waandishi wa habari na kumuwakia vikali rais Samia kutokana na upandaji holela wa bei huku rais akiwa amekaa kimya bila kuingilia kati.

Mbatia amehoji huu upandaji wa bei unalenga kumunufaisha nani ikiwa wanyonge wa nchi hii wanateseka bila kutetewa na viongozi.

Pia amesema haiwezekani serikali ya awamu ya kwanza isumbuliwe na upungufu wa sukari na serikali ya awamu ya 6 ambayo imepatikana baada ya miaka 60 nayo isumbuliwe na tatizo la sukari lazima kutakuwa na tatizo la kiuongozi.

My take.
Ni Mbatia huyuhuyu alisema mama anatuponya majeraha ,anaupiga mwingi.

Leo hata mwaka haujaisha anamuwakia tena kwamba Tanzania haina kiongozi?

Hivi tutaacha lini unafiki?

Mbatia ni mjane mwenzio.
 
CCM wanawasifia kimya kimya kwenye vikao vyao vya ndaani ndani huko na kutuma kina pole pole na Makonda kwenda kuwanunua.
Angalia wote waliorubuniwa na kujiunga na CCM Ni watu waziri mpaka wanapewa madaraka makubwa serikalini. Mitano michache.
1. Yule mpenda bia baridi
2. Sidiriande
3. Tumbili
4. Jamaa yake tumbili
5. Jotokali
6. Mkuu wa wilaya moja pembezoni
7. Mzee mdee and co.
8. Kikumbo

Kama kusifia ni kimya kimya, na kuponda ni waziwazi kwa ccm, kwanini mmnataka wapinzani wasifie hadharani? Umeona wapinzani wakipinga ujenzi wa shule, barabara, hospitali nk ili tujue wanapinga kila kitu?
 
Kwahiyo kama mama kabadilika kutoka
Mwenyekiti wa chama cha Nccr Mageuzi James Mbatia leo ameitisha waandishi wa habari na kumuwakia vikali rais Samia kutokana na upandaji holela wa bei huku rais akiwa amekaa kimya bila kuingilia kati.

Mbatia amehoji huu upandaji wa bei unalenga kumunufaisha nani ikiwa wanyonge wa nchi hii wanateseka bila kutetewa na viongozi.

Pia amesema haiwezekani serikali ya awamu ya kwanza isumbuliwe na upungufu wa sukari na serikali ya awamu ya 6 ambayo imepatikana baada ya miaka 60 nayo isumbuliwe na tatizo la sukari lazima kutakuwa na tatizo la kiuongozi.

My take.
Ni Mbatia huyuhuyu alisema mama anatuponya majeraha ,anaupiga mwingi.

Leo hata mwaka haujaisha anamuwakia tena kwamba Tanzania haina kiongozi?

Hivi tutaacha lini unafiki?


Sasa kama mama amebadilika kutoka kwenye misingi aliyoanza nayo, Mbatia asibadilishe opinion yake? Idiot!
 
Naungana na Mbatia nchi inaendeshwa kama haina kiongozi, leo mafuta yanauzwa bei ambayo hatujawahi kuona lakini Rais amekaa kimya tu.
Raisi anaweza kuingilia Kati wananchi wakiandamana kupinga mfumuko wa bei wapi umesikia wananchi wamendamana kila mtu anafanya mishe zake kama kawa atajuaje kama kunatatizo
 
Raisi anaweza kuingilia Kati wananchi wakiandama kupinga mfumuko wa bei wapi umesikia wananchi wamendamana kila mtu anafanya mishe zake kama kawa atajuaje kama kunatatizo
Duh
 
Ikifikia hatua ya wananchi kuandamana jua ndio mwisho wa Serikali iliyopo madarakani.
Wananchi gani unawazungumzia wako busy na mambo ya kijinga mtandaoni mnakuja kumtuisha zigo mama ningumu kujua Kama kuna mfumuko wa bei unafikiri atajuaje bila kwenda sokoni kila kitu anakuta kiko tayari tatizo ni sisi
 
Back
Top Bottom