Bora kinondoni Nyama ni 9000 ni sawa coz hakuna wafugaji na maeneo ya kufugia hakunaNyama kinondoni 1KG ni 9,000 TZS
Mwenyekiti wa chama cha Nccr Mageuzi James Mbatia leo ameitisha waandishi wa habari na kumuwakia vikali rais Samia kutokana na upandaji holela wa bei huku rais akiwa amekaa kimya bila kuingilia kati.
Mbatia amehoji huu upandaji wa bei unalenga kumunufaisha nani ikiwa wanyonge wa nchi hii wanateseka bila kutetewa na viongozi.
Pia amesema haiwezekani serikali ya awamu ya kwanza isumbuliwe na upungufu wa sukari na serikali ya awamu ya 6 ambayo imepatikana baada ya miaka 60 nayo isumbuliwe na tatizo la sukari lazima kutakuwa na tatizo la kiuongozi.
My take.
Ni Mbatia huyuhuyu alisema mama anatuponya majeraha ,anaupiga mwingi.
Leo hata mwaka haujaisha anamuwakia tena kwamba Tanzania haina kiongozi?
Hivi tutaacha lini unafiki?
Mwenyekiti wa chama cha Nccr Mageuzi James Mbatia leo ameitisha waandishi wa habari na kumuwakia vikali rais Samia kutokana na upandaji holela wa bei huku rais akiwa amekaa kimya bila kuingilia kati.
Mbatia amehoji huu upandaji wa bei unalenga kumunufaisha nani ikiwa wanyonge wa nchi hii wanateseka bila kutetewa na viongozi.
Pia amesema haiwezekani serikali ya awamu ya kwanza isumbuliwe na upungufu wa sukari na serikali ya awamu ya 6 ambayo imepatikana baada ya miaka 60 nayo isumbuliwe na tatizo la sukari lazima kutakuwa na tatizo la kiuongozi.
My take.
Ni Mbatia huyuhuyu alisema mama anatuponya majeraha ,anaupiga mwingi.
Leo hata mwaka haujaisha anamuwakia tena kwamba Tanzania haina kiongozi?
Hivi tutaacha lini unafiki?
Unafiki utaisha siku CCM ikitolewa madarakani.Mwenyekiti wa chama cha Nccr Mageuzi James Mbatia leo ameitisha waandishi wa habari na kumuwakia vikali rais Samia kutokana na upandaji holela wa bei huku rais akiwa amekaa kimya bila kuingilia kati.
Mbatia amehoji huu upandaji wa bei unalenga kumunufaisha nani ikiwa wanyonge wa nchi hii wanateseka bila kutetewa na viongozi.
Pia amesema haiwezekani serikali ya awamu ya kwanza isumbuliwe na upungufu wa sukari na serikali ya awamu ya 6 ambayo imepatikana baada ya miaka 60 nayo isumbuliwe na tatizo la sukari lazima kutakuwa na tatizo la kiuongozi.
My take.
Ni Mbatia huyuhuyu alisema mama anatuponya majeraha ,anaupiga mwingi.
Leo hata mwaka haujaisha anamuwakia tena kwamba Tanzania haina kiongozi?
Hivi tutaacha lini unafiki?
Yes, na ni mjane mwenzako.Mbatia ni msukule wa Magufuli?
Huku ulaya zinafua mashine vipi huko kwenu ikulyamabambashi?Ukimaliza kufua boxer za Amsterdam akili itarudi
Mwenyekiti wa chama cha Nccr Mageuzi James Mbatia leo ameitisha waandishi wa habari na kumuwakia vikali rais Samia kutokana na upandaji holela wa bei huku rais akiwa amekaa kimya bila kuingilia kati.
Mbatia amehoji huu upandaji wa bei unalenga kumunufaisha nani ikiwa wanyonge wa nchi hii wanateseka bila kutetewa na viongozi.
Pia amesema haiwezekani serikali ya awamu ya kwanza isumbuliwe na upungufu wa sukari na serikali ya awamu ya 6 ambayo imepatikana baada ya miaka 60 nayo isumbuliwe na tatizo la sukari lazima kutakuwa na tatizo la kiuongozi.
My take.
Ni Mbatia huyuhuyu alisema mama anatuponya majeraha ,anaupiga mwingi.
Leo hata mwaka haujaisha anamuwakia tena kwamba Tanzania haina kiongozi?
Hivi tutaacha lini unafiki?
Wanatuzuga hao maccm wanadhani hatuna akili kama wao.Mbatia
Lipumba
Cheyo
Ni CCM (b)
Maneno hayo hayo aliyoongea Mbatia angeyasema kiongozi wa Chadema gesi la poris lingetuma Lory mbili zilizojaa Askari wenye silaha za kivita kumkamata.
Jpm ana zuri gani yule ibilisi?Walau leo ameona zuri la JPM maana wao ni kuponda tu.
Leo naona akili zimerudi, kimsingi bibi ushungi hajui hata anafanya nini hapa duniani
Utumbo Ni 6,000Hiyo ni bei ya nyama au utumbo bwashee?
Alidanganywa na dikteta lakini dikteta hayupoWewee ndio huelewi Siasa za Nchi hii
Mbatia na dola hawajakutana Barabarani
Nyama na mifupa ndio inaitwaje kibuchabucha?Utumbo Ni 6,000
Nyama 12,000
Nyama na mifupa 9,000