Mwenyekiti wa chama cha Nccr Mageuzi James Mbatia leo ameitisha waandishi wa habari na kumuwakia vikali rais Samia kutokana na upandaji holela wa bei huku rais akiwa amekaa kimya bila kuingilia kati.
Mbatia amehoji huu upandaji wa bei unalenga kumunufaisha nani ikiwa wanyonge wa nchi hii wanateseka bila kutetewa na viongozi.
Pia amesema haiwezekani serikali ya awamu ya kwanza isumbuliwe na upungufu wa sukari na serikali ya awamu ya 6 ambayo imepatikana baada ya miaka 60 nayo isumbuliwe na tatizo la sukari lazima kutakuwa na tatizo la kiuongozi.
My take.
Ni Mbatia huyuhuyu alisema mama anatuponya majeraha ,anaupiga mwingi.
Leo hata mwaka haujaisha anamuwakia tena kwamba Tanzania haina kiongozi?
Hivi tutaacha lini unafiki?
Anachojua ni kupigania mitala yake tu, kule makunduuchi.. CCM ni janga kwa Taifa.Leo naona akili zimerudi, kimsingi bibi ushungi hajui hata anafanya nini hapa duniani
Hapa tumepatwa na balaa tupuAnachojua ni kupigania mitala yake tu, kule makunduuchi.. CCM ni janga kwa Taifa.
Tena balaa lake ni kubwa haswaaa..!Hapa tumepatwa na balaa tupu
Kwanini mungu wako asiiondoe ccm bila damu kumwagika?Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
Si anaupiga mwingi na kuponya nchi?Ewura kesho wataongeza bei tuu Mama atakaa kimya...
Si anaupiga mwingi huku anakiwakomesha sukuma gang na kuiponya nchi?Huyu Mama hajawai kua upande wa wananchi, yeye akijitokeza anakua upande wa watendaji wake kuwatetea na kukandamiza upande wa wananchi..
Mawazo yake/yao uwa wanadhani wanawakomesha wapinzani kumbe mpaka wa chama tawala uwa wanakula mminyo huo huo
Na bado!Anachojua ni kupigania mitala yake tu, kule makunduuchi.. CCM ni janga kwa Taifa.
Unajiuliza viumbe hivi ambavyo vinatutawala Tanzania vinatokea wapi hasa maana havifanani nawatanzania wenyewe, kwa muonekano , kitabia na hata kiroho.
Waulize kwanza Sirro na Ndugai ili kupata uhakika.Hata Upinzani hakuna pia, chadema wame sale out their soul …
Kumbe nisijisumbue kumtafuta Fadhili hawezi nipa namba ya mtaalamu wakeTupo katika dunia ya ajabu Sana mtu anaweza kukubania hata namba ya mganga wake wa kienyeji"alisikika mlevi mmoja akisema
Maendeleo hayana chama ndugu zangu
Kwanini mungu wako asiiondoe ccm bila damu kumwagika?
Wewe unakumbuka enzi za Mkapa bei ya sukari ndio tulinunua hivyo, Magufuri anaingia madarakani sukari ilikuwa 1800-2000/ .2015 inaonekana ulikuwa bado unalelewa na shemeji yako.
Acha ujinga Manka jk kaacha sukari 1,200 alipo ingia JPM week Moja tu vibali vya ungizaji sukari akazuia na baadhi ya meli zilibeba mzigo wa sukari bandarini mzigo wote ulinadishwa na TRA, wafanya biashara wakatiwa umasikini sukari ikapanda hadi 3,000 kichwa chako kina ram ngapi nadhani Mbatia alitaka kusema JK sio JPMWewe unakumbuka enzi za Mkapa bei ya sukari ndio tulinunua hivyo, Magufuri anaingia madarakani sukari ilikuwa 1800-2000/ .2015 inaonekana ulikuwa bado unalelewa na shemeji yako.
Ujinga mtupu mtanyooka tuAcha ujinga Manka jk kaacha sukari 1,200 alipo ingia JPM week Moja tu vibali vya ungizaji sukari akazuia na baadhi ya meli zilibeba mzigo wa sukari bandarini mzigo wote ulinadishwa na TRA, wafanya biashara wakatiwa umasikini kichwa chako kina ram ngapi manka au unaubongo wa kuku
Umekaa kishamba mno mkuu, Unadhani hizi shombo zitawafanya Watu wasiandike kinachoendelea?Misukule ya dikteta magufuli mna chuki na Samia!! Kenge nyinyi