Bulaya anaenda ACT Wazalendo
Wasakatonge, wameona nafasi zao CCM ni finyu wanatafuta pa kutokea
Wewe umesikia kuna ACT Bunda? Au mkoa wa Mara kwa ujumla? Akienda ACT labda akagombee ubunge huko Kigoma sio Bunda.Bulaya anaenda ACT Wazalendo
Ningetamani pia na watu kama Deo Filikunjombe na Kangi Lugola wachukue uamuzi kama huo. Ninatamani CCM ibakiwe na waropokaji tu kama Lusinde.
Mkuu Kimweri kumbe una ndugu yako humu?
Hongera...are you guys twins?
ACT ni CCM bado na ACT haitokuw ana boost ya CCM kwani Lowasa ndie hot zaidi.Hawa huenda wakaenda ACT
si mbaya kwa muda huu kwani kwa ujumla wao wakija wakifika tuu wakiangalia nyuma ccm imekufa.Kazi yao itakuwa imekwisha.Watabaki wakilia bora kipindi cha CCM watakapojikuta sasa wanatakiwa fanya kazi na si maigizo.Mashibuda wengine wanazaliwa
Wacha maneno ya kike
Lembeli, Bulaya, Kangi, Filikujombe hao ndiyo majembe yaliyo ndani ya ccm, lakini nasikia Deo Filikujombe amekuwa mwizi wa rasilimali, na ni mfanyabiashara halipi kodi siku za hivi karibuni, mtonyaji amenitonya kuwa Deo Filikujombe kwa ufisadi anaoufanya hawezi kutoka ccm, atabaki huko kulinda biashara
Wasila alimwambia akibaki ccm hatapita.
Mtamtamani sana Bulaya. Yeye ndiye mrithi wa Tyson
Estar baki ccm maana uwezo wako utakufanya magufuli akupe nafasi ya uwaziri vinginevyo un anakoenda patakuchelewesha kufikia malengo yako ya kisiasa,