Estar baki ccm maana uwezo wako utakufanya magufuli akupe nafasi ya uwaziri vinginevyo un anakoenda patakuchelewesha kufikia malengo yako ya kisiasa,
Bulaya anaenda ACT Wazalendo
Wasakatonge, wameona nafasi zao CCM ni finyu wanatafuta pa kutokea
Bulaya nakupenda saaaaaaaaana wewe ni jembe kalibu cdm bunge ni lako
Lembeli, Bulaya, Kangi, Filikujombe hao ndiyo majembe yaliyo ndani ya ccm, lakini nasikia Deo Filikujombe amekuwa mwizi wa rasilimali, na ni mfanyabiashara halipi kodi siku za hivi karibuni, mtonyaji amenitonya kuwa Deo Filikujombe kwa ufisadi anaoufanya hawezi kutoka ccm, atabaki huko kulinda biashara
Bulaya anaenda ACT Wazalendo
Bulaya anaenda ACT Wazalendo
Ningetamani pia na watu kama Deo Filikunjombe na Kangi Lugola wachukue uamuzi kama huo. Ninatamani CCM ibakiwe na waropokaji tu kama Lusinde.
Khaa!! Kama unaona mbele giza nafasi zimejaa utafanyaje na siasa ndiyo inakufanya uende WC??
Esther Bulaya akija CHADEMA na akapata ubunge basi Chadema itakuwa imeongeza idadi ya vichwa. Huyo dada namkubali sana ana uwezo wa kujenga hoja japo yupo gambani. karibu CDM
Msipowapa uongozi hawaji,ngojeni tu na huko kwenu kutawaka moto tu. Mapesa yoote ya ubunge hayo hamna chama kitabaki salama. Lazima udikteta utumike kuamua mambo,hapo ndio moto utawaka
Esther Bulaya akija CHADEMA na akapata ubunge basi Chadema itakuwa imeongeza idadi ya vichwa. Huyo dada namkubali sana ana uwezo wa kujenga hoja japo yupo gambani. karibu CDM
. Acheni kushangilia,ni moto huo unakuja kwenu,wako waliosota kwa miaka huko,sasa kama mnahisi kuna neema inakuja halafu ichukuliwe na wengine unadhani patakalika hapo. Msipowapa uongozi hawaji,ngojeni tu na huko kwenu kutawaka moto tu. Mapesa yoote ya ubunge hayo hamna chama kitabaki salama. Lazima udikteta utumike kuamua mambo,hapo ndio moto utawaka
Na washauri wake wamemshauri abaki CCM ambako anampokea Tyson