chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,697
- 45,974
Vip mkuu mbona leo kama sikusomi flani hivi au kuna mtu amehijack account yako anatoa maneno kuntu.Bulaya anaenda ACT Wazalendo
Tutaheshimiana tu.
Vip mkuu mbona leo kama sikusomi flani hivi au kuna mtu amehijack account yako anatoa maneno kuntu.Bulaya anaenda ACT Wazalendo
naamini kangi yupo njianiNingetamani pia na watu kama Deo Filikunjombe na Kangi Lugola wachukue uamuzi kama huo. Ninatamani CCM ibakiwe na waropokaji tu kama Lusinde.
Bulaya anaenda ACT Wazalendo
Bulaya anaenda ACT Wazalendo
Na washauri wake wamemshauri abaki CCM ambako anampokea TysonUsidhani Esther ni mjinga kiasi hicho au hana washauri wenye akili
Bulaya anaenda ACT Wazalendo
Ningetamani pia na watu kama Deo Filikunjombe na Kangi Lugola wachukue uamuzi kama huo. Ninatamani CCM ibakiwe na waropokaji tu kama Lusinde.
Bulaya anaenda ACT Wazalendo
Sio kuwa ataenda CDM kuungana na yule shosti yake?
Mtamtamani sana Bulaya. Yeye ndiye mrithi wa Tyson
Usidhani Esther ni mjinga kiasi hicho au hana washauri wenye akili
Karibu Chadema mama
Anamfuata mumewe Halima MdeeBulaya nakupenda saaaaaaaaana wewe ni jembe kalibu cdm bunge ni lako