James Lembeli, Esta Bulaya: Hatuitaki tena CCM

James Lembeli, Esta Bulaya: Hatuitaki tena CCM

tetetetetetet hapo watu wengi watatoka kapa.

Wajanja tushaelewa! bawacha ni HM na inasadikika ni mdau mkuu wa chanzo cha chakula pendwa Bongo na Africa kiujumla!
 
Lembeli, Bulaya, Kangi, Filikujombe hao ndiyo majembe yaliyo ndani ya ccm, lakini nasikia Deo Filikujombe amekuwa mwizi wa rasilimali, na ni mfanyabiashara halipi kodi siku za hivi karibuni, mtonyaji amenitonya kuwa Deo Filikujombe kwa ufisadi anaoufanya hawezi kutoka ccm, atabaki huko kulinda biashara

Atafanya kupitia udiwani maana ubunge unaenda cdm
 
Wasakatonge, wameona nafasi zao CCM ni finyu wanatafuta pa kutokea
CCM kuna nafasi finyu ilhali wao ndo wanamiliki Rushwa,ubadhirifu,ushenzi,unyanyasaji,uvunjivu wa amani,ujambazi namauaji,uasherati!Wewe ni mpumbavu kama PM fulani.
 
Ningetamani pia na watu kama Deo Filikunjombe na Kangi Lugola wachukue uamuzi kama huo. Ninatamani CCM ibakiwe na waropokaji tu kama Lusinde.

Hao uliowataja pamoja na bulaya na lembeli wameichachafya sana serikali dhaifu ya ccm kwahiyo wakubwa wameapa kuondoa majina yao wasionekane bungeni tena..bila kumsahau sendeka
 
Taarifa ambazo zimepatikana baadaye zinasema, Lembeli anatarajiwa kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), muda wowote kutoka sasa.
Aidha, wabunge wengine wa CCM majina tunayo, wanatarajiwa kujiunga na chama hicho na kugombea ubunge katika majimbo mbalimbali nchini
CHANZO; MWANAHALISI ONLINE

vema watetezi wa wanyonge tutawaombea usiku na mchana mungu awaepushe na mapepo ya ccm
 
Audi yetu ni nani?

Ccm ndo adui wa Tanzania.
 
Back
Top Bottom