FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,373
Nyamayao! Nakubaliana na wewe kabisa kwa post zako zote. Big Up yourself! Huyu mama anayejali kazi kuliko mtoto wake si wa kuendekeza hata kidogo! Kwani hiyo kazi anakwenda kufanya kwa ajili ya nani? Ikiwa ni kwa ijili ya mtoto akae hapa na baba mtu amsaidie si kasema yupo tayari! What a stupid argument kumshawishi huyu amlete mtoto nyumbani. Uporoto utaharibu ndoa yako. Mkeo kajitoa sana kuelewa kona uliyowekwa please do not ask her to give up your marriage! Wala tusiseme huyu mkewe hataki kulea ila hapaswi kumlea huyu mtoto. The deal was closed walipogawiana mbegu sasa limeanza upya linamhusuje huyu Mama wa watu...guys do not use this innocent kid to punish this innocent wife.
Kuna wanawake wengine mungu huwa anawapa watoto cjui kwa bahati mbaya? wakati wenzao wanazunguka dunia nzima kupata watoto ni kazi :A S-danger: