Ila hayupo tayari kumlea huyo mwanao aliyemzaa kwa kupanga....baba mzazi akae kimya?ni hivi mtoto wangi ningemlea mwenyewe bab yake angeleta matunzo tu.....na huyu mtoto sio wa bahati mbaya walipanga yakapangika, bac na mama ackwepe jukumu la kumlea mwanae akisaidiana na mzazi mwenzie.