Jambo limezua Jambo.

Mtoto huyo ni damu yako kama ambavyo walivyo hao uliozaa na mke uliye naye. Tena nakushauri mtunze vizuri maana kipata tabu au kusoneneka vitawapata watoto wako kwa sasa, na kwa bahati mbaya akifa kwa uzembe wenu atamaliza hao watoto ulio nao. Mchukue mtoto, tafuta mfanyakazi ambaye yeye atakuwa ana mshughulikia mtoto huyu tu. Pia athma inapona, tena bila wasiwasi, tafuta wataalam wa dawa za mitishamba (siyo waganga wa kienyeji). Na tumbo lina shida gani? Hebu eleza magonjwa ya huyo mwanao hapa upate ushauri wa dawa. Tatizo mnakimbilia sana kwa madawa ya kizungu mnaacha yale ya mababu zetu!! Yale ni mwisho wa kazi tusiyadharau, cha msingi jua matumizi yake sahihi!!
 
Liz, why are you so sure?

je, huoni kwamba anaweza akawa tu decent kwa maana ya kwamba amashajifunza kutokjana na haya yaliyotokea? For God's sake she is a human being..she can change in a positive way!

Kaizer unataka nimwamini mtu anayetumia kisingizio cha kazi kuacha mtoto wake katika mikono aliyoiahidi kuwa hatarudi kwake zaidi ya mbegu? Kama hiyo kazi inalipa yeye hana ndugu wa kuwaachia wamtunzie mtoto mpaka awe stable huko aendako? We are all human beings and so is Uporoto's wife for God's sake! She is so sincere! hakutaka unafiki. Hebu huyu mama alee mwanae sijaona mahala amesema ndugu zake hawapo tayari kumtunza mtoto kwanini kachagua kumrudisha kwa Uporoto ( I am sorry sitasema kumrudisha kwa baba yake...maana siamini ubaba ni mbegu tu ni zaidi ya hilo hivyo kwangu baba yake ni marehemu). Kaizer!
 
Kaizer unataka nimwamini mtu anayetumia kisingizio cha kazi kuacha mtoto wake katika mikono aliyoiahidi kuwa hatarudi kwake zaidi ya mbegu? Kama hiyo kazi inalipa yeye hana ndugu wa kuwaachia wamtunzie mtoto mpaka awe stable huko aendako? We are all human beings and so is Uporoto's wife for God's sake! She is so sincere! hakutaka unafiki. Hebu huyu mama alee mwanae sijaona mahala amesema ndugu zake hawapo tayari kumtunza mtoto kwanini kachagua kumrudisha kwa Uporoto ( I am sorry sitasema kumrudisha kwa baba yake...maana siamini ubaba ni mbegu tu ni zaidi ya hilo hivyo kwangu baba yake ni marehemu). Kaizer!


na hata kaam ndugu zake hawapo tayari, bado mporoto anatakiwa atafute maarifa mengine na huyo hawara yake ili mradi huyo mtoto apate matunzo huko....ampeleke hata kwa mama yake uporoto/ dada yake uporoto vyovyote vile kama watakubaliana na kama huyo mama hawezi kumtunza mtoto wake wa kumzaa? mwanamke wa ajabu sana huyu.
 
kiapo hakija expire, shida iko wapi hapo? raha alikula uporoto, swali langu kwako kwanini unataka mke wa uporoto alee huyu mtoto wakakti mtoto ana mamake?....kwanini mporioto ackae na hawara yake chini waongelee ili jambo washauriane wampeleke kwa mama yake mporoto au kwa mdogo/dada yake na hawara? kwanini mnataka huyu mama amlee mtoto wakati baba kashasema atamtunza wewe unataka mke wa mporoto amlee, huyu hawara alee mtoto wake mwenyewe akishirikiana na mporoto, tena vizuri kabisa mporoto kakubali kumtunza kwanini hawara akatae kutunza damu yake?...

:confused2:
okay, sasa labda niulize tu kwa nini HUTAKI kwamba huyu mke wake Uporoto amlee huyo mtoto?
 
Mtoto huyo ni damu yako kama ambavyo walivyo hao uliozaa na mke uliye naye. Tena nakushauri mtunze vizuri maana kipata tabu au kusoneneka vitawapata watoto wako kwa sasa, na kwa bahati mbaya akifa kwa uzembe wenu atamaliza hao watoto ulio nao. Mchukue mtoto, tafuta mfanyakazi ambaye yeye atakuwa ana mshughulikia mtoto huyu tu. Pia athma inapona, tena bila wasiwasi, tafuta wataalam wa dawa za mitishamba (siyo waganga wa kienyeji). Na tumbo lina shida gani? Hebu eleza magonjwa ya huyo mwanao hapa upate ushauri wa dawa. Tatizo mnakimbilia sana kwa madawa ya kizungu mnaacha yale ya mababu zetu!! Yale ni mwisho wa kazi tusiyadharau, cha msingi jua matumizi yake sahihi!!


kaka Maane, huyo mfanyakazi anapagiwa na nyumba ya kuishi yeye na mtoto au?..na kama ni hivyo n bora uporoto amshauri huyo hawara yake hilo jambo na wakaishi pa1 zambia.
 
kaka Maane, huyo mfanyakazi anapagiwa na nyumba ya kuishi yeye na mtoto au?..na kama ni hivyo n bora uporoto amshauri huyo hawara yake hilo jambo na wakaishi pa1 zambia.

Kwa nn unakuwa na moyo mgumu Nyamayao mwache ajilele mwanae...!
 
:confused2:
Okay, sasa labda niulize tu kwa nini hutaki kwamba huyu mke wake uporoto amlee huyo mtoto?


kwasababu mtoto ana mama yake mzazi na mama hajatoa sababu za maana kukwepa / kutotaka kumtunza mtoto wake wa kumzaa....
 
mke wa uporoto na alee mtoto kama ataweza kum adopt moja kwa moja.

kama ana nia ya kufika kumtafutia kazi na kumpa pesa za matunzo ........................aombwe favor nyengine alee tu mtoto.
 
Kwa nn unakuwa na moyo mgumu Nyamayao mwache ajilele mwanae...!


cna roho ngumu kabisa, roho yangu nyeupe sana, lakini lyfe is too short kubebeshana matatizo, mie nimesema nalea pia tena kwa moyo mmoja kabisa, huyo babake hajui hata mwanangu(mwanae) anaishije huko skul kama sio mie kufatilia na kumlea kama mwanangu wa kumzaa, lakini kama maam yake mzazi angekuwepo bac angemlea mtoto wake kwa msaada kutoka kwa mzazi mwenzie(mr)...hapo cna ubishi, lakini sio kulea starehe za mtu....iam sorry jamani....mikataba ya ovyo ovyo ije iniletee pressure?
 
kwasababu mtoto ana mama yake mzazi na mama hajatoa sababu za maana kukwepa / kutotaka kumtunza mtoto wake wa kumzaa....


kama hajatoa sababu za maana ni kuwa hana sababu ........HAMTAKI tu mtoto. sasa tumlazimishe mtu kulea mtoto japo hataki wakati baba yake yupo hai?
 
Kaizer unataka nimwamini mtu anayetumia kisingizio cha kazi kuacha mtoto wake katika mikono aliyoiahidi kuwa hatarudi kwake zaidi ya mbegu? Kama hiyo kazi inalipa yeye hana ndugu wa kuwaachia wamtunzie mtoto mpaka awe stable huko aendako? We are all human beings and so is Uporoto's wife for God's sake! She is so sincere! hakutaka unafiki. Hebu huyu mama alee mwanae sijaona mahala amesema ndugu zake hawapo tayari kumtunza mtoto kwanini kachagua kumrudisha kwa Uporoto ( I am sorry sitasema kumrudisha kwa baba yake...maana siamini ubaba ni mbegu tu ni zaidi ya hilo hivyo kwangu baba yake ni marehemu). Kaizer!


Exactly Liz, simu-undermine mke wa uporoto lakini pia nisingependa tu undemine maslahi ya mtoto

huyo mwanamke aliyezaa naye jamani ni wa kumpotezea kwa sasa kwa sababu hayuko tayari kumsupport huyo mtoto....

sasa ni nafasi ya Uporoto kuwa baba sasa in that case....


halafu Liz..njoo PM basi...naona kama umeniita apo:behindsofa:
 
mke wa uporoto na alee mtoto kama ataweza kum adopt moja kwa moja. .

Huyo mtoto ni wa Uporoto bila ubishi maana ni damu yake labda akapime DNA kujiridhisha.
Alafu huyu mke wa Uporoto kama kweli anampenda Uporoto hana budi kupenda na ua lake lasivyo mwanamke afungashe vilago amwache mtoto aje ale bata na Uporoto.
 
kwasababu mtoto ana mama yake mzazi na mama hajatoa sababu za maana kukwepa / kutotaka kumtunza mtoto wake wa kumzaa....


sasa Mrs, kwani baba hana HAKI ya kumlea mtoto? mbona inaonekana ni haki ya mama yake tu?:confused2:
 
Mtoto huyo ni damu yako kama ambavyo walivyo hao uliozaa na mke uliye naye. Tena nakushauri mtunze vizuri maana kipata tabu au kusoneneka vitawapata watoto wako kwa sasa, na kwa bahati mbaya akifa kwa uzembe wenu atamaliza hao watoto ulio nao. Mchukue mtoto, tafuta mfanyakazi ambaye yeye atakuwa ana mshughulikia mtoto huyu tu. Pia athma inapona, tena bila wasiwasi, tafuta wataalam wa dawa za mitishamba (siyo waganga wa kienyeji). Na tumbo lina shida gani? Hebu eleza magonjwa ya huyo mwanao hapa upate ushauri wa dawa. Tatizo mnakimbilia sana kwa madawa ya kizungu mnaacha yale ya mababu zetu!! Yale ni mwisho wa kazi tusiyadharau, cha msingi jua matumizi yake sahihi!!

Mkuu hapa tupo pamoja umeongea kiuhalisia kabisa hapa......
 
kaka wote mlishachemka iliyobaki ni wote wenye mapenzi mema na hako kamalaika ni kukachangia na kuhakikisha kana kua vizuri.
 
mke wa uporoto na alee mtoto kama ataweza kum adopt moja kwa moja.

kama ana nia ya kufika kumtafutia kazi na kumpa pesa za matunzo ........................aombwe favor nyengine alee tu mtoto.

imenibidi nicheke tu mtoto nae kuombewa favor, labda nitasema wengine mlitunza watoto kirahic, kwa sie tuliokuwa tunatunza watoto wakilia na mama unalia, akipata mafua na mie napata tumbo la period, akipata home na mie naumwa.....mtu ufungi jicho ucku kucha,...japo huyo ni 5 yrs bado anahitaji malezi ya karibu zaidi na tena hivyo alivyo na tatizo ndio mana kwangu naona ni bora mama mzazi aone maendeleo ya mwanae jamani.......itakuwa ngumu aisee..... na ndio mana namwambiaga mr acheze rafu zote lakini mtoto chini ya mwanangu wa mwisho ctampokea, kulea kugumu sana kwa upande wangu na kuliko nikubalia kinafiki ni bora nimpe tahadhari za kucheza kwa step huko nje kama anacheza mana ajue itakula kwake kwa namna moja au nyingine.
 
Exactly Liz, simu-undermine mke wa uporoto lakini pia nisingependa tu undemine maslahi ya mtoto

huyo mwanamke aliyezaa naye jamani ni wa kumpotezea kwa sasa kwa sababu hayuko tayari kumsupport huyo mtoto....

sasa ni nafasi ya Uporoto kuwa baba sasa in that case....


halafu Liz..njoo PM basi...naona kama umeniita apo:behindsofa:

Sijakuita kwenda PM Kaizer nimekuita kuonyesha msisitizo...by the way kichwani nilikuwa nawaza hivi wewe ni mume wa mtu na baba? Je vile unamfahamu mkeo, kama yupo, unaonaje hili kwake? Na please usimfikirie vile wewe ungependa alichukue hili swala bali vile moyo wake ungelibeba! Duniani kuna majaribu! Na hili Mrs Uporoto limemkumba! I am so sad!
 
nyamayao nakuelewa ................ulezi hakuna mwepesi lakini kama ameombwa favor nyengine na amekubali, na alee tu na huyo mtoto

mie nampigania tu kuwa awe na sheria upande wake............asikubali kulea hivi hivi


utashangaa ukisia mama mtoto akiambiwa kuwa mtoto awe adopted akasema safari ya zambia imekufa na atalea mwenyewe
 
sasa Mrs, kwani baba hana HAKI ya kumlea mtoto? mbona inaonekana ni haki ya mama yake tu?:confused2:


unaweza kuanzisha lyfe lako upya kumlea mwanao, kwangu nakuruhusu....huku kwangu uwe unaleta huduma za wanao tu....na ni ruhusa wanangu kumnjua ndugu yao, wakae pa1 wakishirikiana pa1, lakini mama hucka amlee mtoto wake kwasasa....narudia tena hata mie mama yake na binti yangu angekuwepo angemtunza mwanae mwenyewe jamani, ni jukumu lake, kulea mchezo nini, mie binti yangu kaanza kuota vinyoyo, inabidi nibanane na e sana kumwangalia kwa karibu mana likitkea tatizo lawama zote kwangu, (nitaambiwa coz sio wangu wa kumzaa) lakini angelelewa na mamake likatokea tatizo itaonekana ni utundu wa mtoto tu.....tunalea jamani tunayaona.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom