Ms eyes
JF-Expert Member
- Feb 4, 2023
- 4,773
- 11,977
Muamala ni hapa hapa😂. Pm yangu inasumbua surely.Eeeh lete mkuu, ila tusimwage mchele mkuu 🤣
Muamala ni hapa hapa😂. Pm yangu inasumbua surely.Eeeh lete mkuu, ila tusimwage mchele mkuu 🤣
Matokeo yake mnapata magonjwa ya zinaa kwa mambo ya kishenzi kama kuzama chumvini. Kijana badilika. Huo upumbavu ulioandika ni huzuni kwa wazazi wako
Kwa haya mafisi hapa tusuburi waziri mkuu aache usumbufu then zoezi litaendelea🤣🤣🤣Muamala ni hapa hapa😂. Pm yangu inasumbua surely.
Hiyo ni muamala tu. Wala huwa haipatikani😂😂😂Kwa haya mafisi hapa tusuburi waziri mkuu aache usumbufu then zoezi litaendelea🤣🤣🤣
Mkuu dah,Ni uchafu mkubwa na ni hatari.Unazamishaje ulimi kwenye via vya uzazi vya mwanamke,ni umaskini au kujifanya mjuaji?
Makansa na magonjwa mengine yakikukumba,utamlaumu nani?
Halafu huwezi jua huyo unayezama chumvini kumfurahisha,kama katoka kulala na mwanaume mwingine,unaanza kulamba shahawa za mwenzako,are you mentally okay?
Ni ujinga sana nikiona mtu anajisifu kulamba via vya uzazi.
Tusubiri kwanza mkuu🤣🤣Hiyo ni muamala tu. Wala huwa haipatikani😂😂😂
Nataka nilale sasa👀Tusubiri kwanza mkuu🤣🤣
Ngoja nitajaribu nione kama kuna kufuli, lala upumzishe akili. Ndio mda huu.Nataka nilale sasa👀
Kufuli gani hilo😂?Ngoja nitajaribu nione kama kuna kufuli, lala upumzishe akili. Ndio mda huu.
Imagine na haya macho yalivyokuwa makubwa sasa nikianza kusinzia nyie😂. Shukuru umepewa macho madogoNgoja nitajaribu nione kama kuna kufuli, lala upumzishe akili. Ndio mda huu.
kwamba nini kinatokea😂Imagine na haya macho yalivyokuwa makubwa sasa nikianza kusinzia nyie😂. Shukuru umepewa macho madogo
😂😂😂 unamuona kinyonga alivyo?kwamba nini kinatokea😂
Hata mimi nina macho makubwa 🤣Imagine na haya macho yalivyokuwa makubwa sasa nikianza kusinzia nyie😂. Shukuru umepewa macho madogo
Hongera😌Hata mimi nina macho makubwa 🤣
Ndio maana ukajiita binti macho?Hongera😌
HapanaNdio maana ukajiita binti macho?
Yeah, harufu ya nywele za kusukia ni tatizo kubwa!!Wanawake wengi wanajipenda. Ila nywele ndio zinanukaga kwa wale wanaopenda kusuka mirasta alafu inakaa mwezi mzima pasipo kubadili, ukijumlisha mkorogo lazma kauvundo flani kanukie
unakonyeza konyeza😂😂😂😂 unamuona kinyonga alivyo?