Jamani wafundisheni wanawake kuoga

Jamani wafundisheni wanawake kuoga

Nakereka sana unakuta mtu unapishana na mwanamke ananuka jasho siyo kawaida, mtu ananuka kikwapa, harufu ya mikojo, ananuka nyapu, na harufu ya uvundo wa nywele pamoja na nguo zake.

Ukimuangalia miguuni na panapo kipochi manyoya ndiyo unachoka kabisa.
Usisahau kupiga mswaki nako ni janga
 
Mengine huwa sina time nayo ila harufu mbaya huwa haijifichi tuache utani wanaume kwenye hili sector tunaongoza kunuka mdomo & jasho la makwapa

Kwenye daladala sio siri huwa nakereka umekaa seat ya watu wawili anakuja mmama bonge wakati anakaa Yani puuuu kama anajirushia anakukalia na wewe , alafu anakugeukia anakwambia pole🤣😂
 
Personally ke wote nmepatana nao kwa usafi broadly wapo sawa kutuliko sie me ,Ila years back Kuna advocate mmoja alikuwa chini ananuka balaa ,sema wenzake majungu hawakuwa wanamwambia wanamtenga tu ,day Moja nlimketisha tukaongea kiutu uzima akanieleza ,tulienda sote hospitali baad ya mapimo akapata kujua tatizo .Alitibiwa kwa gharama kubwa Sana kwa kweli ,hata mie nlichangia na alipona ,mpaka Leo she is a freind ,Ila kwa trial run mechi ya kwanza baada ya kupona alinipa kwa kupenda kwake .
Ukipata mtu ana tatizo hili me au ke usimseme pembeni mfaute umwambie tena kwa heshima Sana .
 
Back
Top Bottom