Mkuu ni kweli mfalme anachagua kila mwaka na ana wake 13 mpaka sasa na baba yake aliacha wajane zaidi ya 40.Wala siyo kweli kwamba King Mswati III eti huwa alzima achague mke kwenye hizo ngoma! Maana ingekuwa hivyo sasa hivi angekuwa na wake wengi kuliko hao alio nao sasa hivi, hii ngoma kila mwaka inachezwa!!
mila zao... kama wewe huna zako tulia tuliiiimswati anatakiwa kuchinjwa kama kuku
ni nini hiki?
kwanini awadhalilishe kina mama
ana haki gani haswa
shame on him
mswati anatakiwa kuchinjwa kama kuku
ni nini hiki?
kwanini awadhalilishe kina mama
ana haki gani haswa
shame on him
[/Q
UOTE]
heeee huyo aliepanuliwa miguu hapo jamvini
mbona kama analia?
wanafanywa nini hapa sasa
au ndo wanakeketwa
Mkuu ni kweli mfalme anachagua kila mwaka na ana wake 13 mpaka sasa na baba yake aliacha wajane zaidi ya 40.
[/Q
UOTE]
heeee huyo aliepanuliwa miguu hapo jamvini
mbona kama analia?
wanafanywa nini hapa sasa
au ndo wanakeketwa
LAZIMA MWANA MAMA AWE NA BIKILA HAPA ANACHEKIWA