Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 887
- 4,131
Kadi ya mwaliko tu inaulaghai tena kwa viongozi wa taasisi za dini. Kwamba kadi imeandikwa bila kueleza washiriki wanakwenda kusikia nini.
Kama kadi pekee inaweza ikawa na ulaghai uchaguzi utakuwa na nini? Kama kadi ina ukakasi, je dhamira ya waandishi wa kadi kwenye katiba mpya mnaona? Tukubali hakuna uchaguzi wala katiba.
Tutaendelea kuishi kwa dana dana kwa sababu wanaopaswa kutenda haki wanafaidika na mfumo usio wa haki. Kwanini watafute mfumo wa haki wasiojua kama itawaacha wakineemeka?
Kama kadi pekee inaweza ikawa na ulaghai uchaguzi utakuwa na nini? Kama kadi ina ukakasi, je dhamira ya waandishi wa kadi kwenye katiba mpya mnaona? Tukubali hakuna uchaguzi wala katiba.
Tutaendelea kuishi kwa dana dana kwa sababu wanaopaswa kutenda haki wanafaidika na mfumo usio wa haki. Kwanini watafute mfumo wa haki wasiojua kama itawaacha wakineemeka?