bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
Wengine ndio raha zetu hizi.......tunalipia tu maraha hatuna tabu,....kwani mbona hata kama wahitaji kupata raha za misosi unanunua??!!!!!! Maraha gharama queen, shurti yalipiwe ati.
tena mkuu huna hata haja ya kujitangaza kama leo una mshiko, kwani dada zetu hawa huwa wanajua kweli kunusa, machale yao yamekwenda shule kwelikweli!