Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
na wanaume huwa wana bembeleza au wabembelezwe wao tu?
Try me out......:tonguez::hug::hug:
na wanaume huwa wana bembeleza au wabembelezwe wao tu?
Aksante kwa tip maana wezajikuta unatangaza nia barabarani wakati wenzio tayari wako kwenye kampaini. Ah mapenzi aliyeyagundua .........we acha hii kitu hushindwi kutembea ukiongea mwenyewe ndoto muhimu zinakufanya uone kama ushafanya yote kumbe ndo kwanza kweupe watu tunaibiana tu cheichei shangazi nyingi!
Mwanaume anayebembeleza ni limbukeni! Mwanaume analiwaza tu, habembelezi!
ha!ha!ha! yan naskiaga walio ndoani wanabembelezwa KAKA aktaka MAMBO...au km amekukosea..yap anakubembeleza ..sasa iweje asikubembeleze? ahh hatari yan ata akina chacha mwta ,majura ,mafuru ,bwile wanabembeleza tena sana tu skuiz sasaiweje asikubembeleze?
km mwapendana kubembelezana nakshi nakshi ..lazima bwna....sa utaish vp na mtu asokubembeleza? mwaishi km kuruta na afande?kinachomata kubembelezwa anachokifanya afta kumaliza kuimba iz anaza kesi....
!!!!!!
Hahahahahha G umenifurahisha hebu baelezee naona bamesahau. Eti hawabembelezi usiombe umkute jamaa kakosea kama nani yule alokutwa na Simcard ya siri .... mauwa meengi yatabebwa, ice creams n.k ilimradi abembeleza.kwa mwanamke wa siku hizi mtabembeleza mkitaka msitake
queen, braza ODM alikuwa anakutafuta:redfaces::redfaces::redfaces::embarrassed:
kwa mwanamke wa siku hizi mtabembeleza mkitaka msitake
queen, braza ODM alikuwa anakutafuta:redfaces::redfaces::redfaces::embarrassed:
ucjali nishamuona niko naye hapa namwandalia ugali na mchicha kwa ajili ya kuboresha macho yake,siku hizi haoini vizuri nahisi.
thanks kwa taarifa hizo muhimu.
Try me out......:tonguez::hug::hug:
kwa mwanamke wa siku hizi mtabembeleza mkitaka msitake
toa mfano wa mkakati kwanza tujue kuna muelekeo au ni kupotezeana muda tu?
Carmel mamii, you can say that again.kubembelezwa ni muhimu hasa kwa wanawake, issue ni pale unapokuwa na mtu asiyejua kubembeleza, i mean mtu ambaye hana hisia, mtu ambaye there is nothing that moves his heart.........utajuta.
toa mfano wa mkakati kwanza tujue kuna muelekeo au ni kupotezeana muda tu?
Hapa hapa hadharani shem?reggers:reggers:
Kwa lipi la aghali kihivyo?
Carmel mamii, you can say that again.
Hommie, hizi thanks hapa chini kwenye hii yuziful post unazitafsirije?
The Following 2 Users Say Thank You to Kaizer For This Useful Post: