kachu snipper
Member
- Dec 22, 2013
- 76
- 7
Kwel kabisa
nimekuelewa vyema binamu....sorry binamu ulimi ulitereza sio wote ni baadhi tu wanawachafulia majina wenzao
ni wachache ambao wanawaambukiza na wengine wewe hujui kuwa samaki mmoja akioza ...................................
dah leo umejumixha wanauume wote wa jf dah ila kwa tufanyao hayo tujirekebxhe mwakan jamii jf ihexhmiwe
Ni kama umeshatendwa sana na hawa ma brother naona kila ukija unawatolea uvivu sawa mwaya waambie wabadilike.
Usiumie kichwa kwa mmu stories dada angu..dat y hata user nem 99.9% fake dat means 99.9% ya stories za kule ni fake.
Kwakweli topic za siku hizi mpaka kero. Na jukwaa likiendelea hivi ndo napotea kabisa!!