ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,758
- 9,592
HABARINI WAUNGWANA MABESTITOOO
Natumai muwazima sana tena sana nimeona kabla ya kufunga mwaka 2013
niwape tena darasa upya hasa WANAUME yaani mm nakereka sana nao
hawa watu kwani wao ni watu wa ajabu tena watu wanaoshangaza umma
na kama si jamii nzima iliyowauzunguka, ni watu wasio tabirika kabisa.
Hivi kwaniini nyie WANAUME mmekuwa na tabia ya kuwasema sema sana wadada/
mama/wabibi zenu kiasi hicho, yaani imenibidi nikimbie kule MMU kwani kumejaa
kero, majanga na vitimbi visio na sababu yoyote kule wewe mtumzima kwanini
laikini unakuwa hivyo una jambo la msingi la kusemea kule mpaka uwatangaze
watu kama matangazo ya biashara kwanini mnakuwa hamna heshima yoyote
mmekosa staha kabisa wala adabu hamjui bila wamama nyie msingetokea
duniani jamani. Tungewakandamiza humohumo ndani na tusingewafyatua nyie
Nimetoa kero yangu ya moyoni na kuwatakia siku/mwezi na mwaka mpya mwema
ulio na mafanikio matumaini na matengenezo mapya maishani mwenu .
Na message ime:closed_2:
Kwa mwaka unaokuja tutabaki tukiwachungulia tu :behindsofa:
kuondoka kifastjet zaidi 😛lane:
Nawatakia kheri katika kuukaribisha mwaka 2014 nawapenda
na kama kuna wengine wataboreka na uzi huu wanisamehe ila uzi
huu umewafundisha msiendelee na hiyo tabia ya mwaka 2013
MUWE NA HESHIMA ADABU KWA WADADA/WAMAMA ZENU HUMU
MJENGONI ACHENI TABIA YA KUDHALILISHANA, KUDHARAULIANA
TUPENDANE NA TUTAKIANE KHERI NA BARAKA KWA KILA JAMBO.
TAMANI KUBADILIKA HASA MAKAKA/ MABABA / WANAUME WA JF
Wasalaamu;
Ladyf
Natumai muwazima sana tena sana nimeona kabla ya kufunga mwaka 2013
niwape tena darasa upya hasa WANAUME yaani mm nakereka sana nao
hawa watu kwani wao ni watu wa ajabu tena watu wanaoshangaza umma
na kama si jamii nzima iliyowauzunguka, ni watu wasio tabirika kabisa.
Hivi kwaniini nyie WANAUME mmekuwa na tabia ya kuwasema sema sana wadada/
mama/wabibi zenu kiasi hicho, yaani imenibidi nikimbie kule MMU kwani kumejaa
kero, majanga na vitimbi visio na sababu yoyote kule wewe mtumzima kwanini
laikini unakuwa hivyo una jambo la msingi la kusemea kule mpaka uwatangaze
watu kama matangazo ya biashara kwanini mnakuwa hamna heshima yoyote
mmekosa staha kabisa wala adabu hamjui bila wamama nyie msingetokea
duniani jamani. Tungewakandamiza humohumo ndani na tusingewafyatua nyie
Nimetoa kero yangu ya moyoni na kuwatakia siku/mwezi na mwaka mpya mwema
ulio na mafanikio matumaini na matengenezo mapya maishani mwenu .
Na message ime:closed_2:
Kwa mwaka unaokuja tutabaki tukiwachungulia tu :behindsofa:
kuondoka kifastjet zaidi 😛lane:
Nawatakia kheri katika kuukaribisha mwaka 2014 nawapenda
na kama kuna wengine wataboreka na uzi huu wanisamehe ila uzi
huu umewafundisha msiendelee na hiyo tabia ya mwaka 2013
MUWE NA HESHIMA ADABU KWA WADADA/WAMAMA ZENU HUMU
MJENGONI ACHENI TABIA YA KUDHALILISHANA, KUDHARAULIANA
TUPENDANE NA TUTAKIANE KHERI NA BARAKA KWA KILA JAMBO.
TAMANI KUBADILIKA HASA MAKAKA/ MABABA / WANAUME WA JF
Wasalaamu;
Ladyf