Jaribu AKBER PHOTO CENTRE...nadhani Jamhuri street....
Ndio huko uliko piga picha yako uliyoweka kama avatar?
Hapana Hiyo ni negative yake...
Hii ndo Bongo bana...We live by HOPES and DREAMS...Huku "Mto wa Mbu" hakuna hiyo service, ningekustua.
Ni wapi (studio gani) hapa Bongo ambapo unaweza kupiga picha kwa ajili ya Diversity Visa (DV-2011) Green Card Lottery
tafadhali naomba kuuliza maana nataka kujaribu bahati yangu
hahahahahahaha, sio mtaalamu kivileeeeeee! basi tu! najua huyu mdau hawezi kuja kwetu 'kigoma' sasa inabidi atume tu kwa barua pepe au kama attachement!journal pepe sasa si umpige wewe mbona unaonyesha ni mtaalam wa hivo vitu
Ndio huko uliko piga picha yako uliyoweka kama avatar?
Du huyo kweli atakuwa ni kidudu mtu, negative ipo hivyo!!!!!!!Hapana Hiyo ni negative yake...
bongo ni ngumu! ila we kapige picha popote ila waambie 'wasizumu' na mpiga picha asikae karibu sanaaaaaaaaaaa na 'sura' yako! kisha nitumie nikurekebishie.