Jamani mke wangu ana wivu au mashetani?

Jamani mke wangu ana wivu au mashetani?

Matatizo mengine tunayasababisha sisi wenyewe wanaume wanawake kuwa hivyo,huwa tunazidisha mno ufundi wakati wa kungegedana wengine wanazama chumvini hadi kwenye difu wananyonya,hapo mwanamke lazma apagawe na wivu wakumwaga kwa kuhofia mtaalamu wake asije kuibiwa na wenzake[emoji1321]
 
Kwani hizo tabia za mkeo hukuzijua kabla hamjaoana? Hamkuwa wapenzi wa muda mrefu kabla ya kuoana? Au ulipewa huyo mkek kama zilivyo ndoa za maponjolo na wajinga wajinga wengine wanachaguliwa wanawake?
 
Habari za majukumu wakuu wenzangu.

Jamani sijui niseme ni wivu kupitiliza au mashetani yanamsumbua siku moja nilichelewa kurudi nyumbani ikafika saa tatu usiku ndo nikarudi nyumbani ilihali si kawaida yangu kufika mda huo.

Nilikua napiga stori kwa ndugu, jamaa na marafiki lakini yeye alikua hatambui hilo sasa kikubwa nilichokwenda kukutana nacho huko, nilikuta kama vile kuna msiba au tatizo kuuubwa machozi yalikua yanabubujika, kilichobakia nilicheka kama mazuri vile, maana baada ya kuuliza anacholilia duh!.

Majibu ni kwamba eti nimechelewa kurudi nyumbani sasa nikawa najiuliza saa tatu watu wanalia je ingefika saa tano si wangezimia kabisa na lingine anapenda kila wakati niwe ndani ndo anafarijika, akipita akitoka anione tu kama sanamu la dukani wakati mimi hayo mapenzi ya hivyo yananishinda.

Wakati huo huo kinachonishangaza wengine humu wanaleta nyuzi kwamba wake zao hawana furaha wakiwa pamoja mda mwingi, wakati mimi ni tofauti kabisa na hayo.
Hongera maana inaonekana unampa vtu adimu sana ,uktoka anaisi kuna mwngne unaenda kumpa hayo madin unayo mpaga ivyo anajisikia vbaya sana mautamu yake akiisi kuna mwngne anafaid..ww uwe unamuaga tuu na kumtaarifu kama utachelewa.afu bro.kwa sisi wakristo tumeambiwa tuishi nao kwa akili maana ni viumbe dhaifu.ivyo jua unatakiwa utumie akil maana ni viumbe dhaifu
 
Kwa suala la kunisaliti hapo namtetea, maana nyota njema huonekana asubuhi na mapema.
Basi anakuheshmu sana kama biblia inavyoagiza sasa ww unatakiwa umpende na ukmpenda hutaona kama ni kero kwake kulia ukchelewa bila taarifa ,mm nais ungempigia SMU tu umwambie utachelewa kurud wala asngelia
 
Sasa mjomba unapendwa namna hyo na bado unalia lia,
 
Habari za majukumu wakuu wenzangu.

Jamani sijui niseme ni wivu kupitiliza au mashetani yanamsumbua siku moja nilichelewa kurudi nyumbani ikafika saa tatu usiku ndo nikarudi nyumbani ilihali si kawaida yangu kufika mda huo.

Nilikua napiga stori kwa ndugu, jamaa na marafiki lakini yeye alikua hatambui hilo sasa kikubwa nilichokwenda kukutana nacho huko, nilikuta kama vile kuna msiba au tatizo kuuubwa machozi yalikua yanabubujika, kilichobakia nilicheka kama mazuri vile, maana baada ya kuuliza anacholilia duh!.

Majibu ni kwamba eti nimechelewa kurudi nyumbani sasa nikawa najiuliza saa tatu watu wanalia je ingefika saa tano si wangezimia kabisa na lingine anapenda kila wakati niwe ndani ndo anafarijika, akipita akitoka anione tu kama sanamu la dukani wakati mimi hayo mapenzi ya hivyo yananishinda.

Wakati huo huo kinachonishangaza wengine humu wanaleta nyuzi kwamba wake zao hawana furaha wakiwa pamoja mda mwingi, wakati mimi ni tofauti kabisa na hayo.
Kaa na mkeo, faham nn kitampa furaha, kama ni kukuona we ukiwa ndani basi kaa ndani na wahi kurudi
 
Habari za majukumu wakuu wenzangu.

Jamani sijui niseme ni wivu kupitiliza au mashetani yanamsumbua siku moja nilichelewa kurudi nyumbani ikafika saa tatu usiku ndo nikarudi nyumbani ilihali si kawaida yangu kufika mda huo.

Nilikua napiga stori kwa ndugu, jamaa na marafiki lakini yeye alikua hatambui hilo sasa kikubwa nilichokwenda kukutana nacho huko, nilikuta kama vile kuna msiba au tatizo kuuubwa machozi yalikua yanabubujika, kilichobakia nilicheka kama mazuri vile, maana baada ya kuuliza anacholilia duh!.

Majibu ni kwamba eti nimechelewa kurudi nyumbani sasa nikawa najiuliza saa tatu watu wanalia je ingefika saa tano si wangezimia kabisa na lingine anapenda kila wakati niwe ndani ndo anafarijika, akipita akitoka anione tu kama sanamu la dukani wakati mimi hayo mapenzi ya hivyo yananishinda.

Wakati huo huo kinachonishangaza wengine humu wanaleta nyuzi kwamba wake zao hawana furaha wakiwa pamoja mda mwingi, wakati mimi ni tofauti kabisa na hayo.
kumbe anilia tu mwache alie maana mume sio pambo la nyumba uwahi nyumbani.
usimpige mwombe tu ruhusa ukiwa utachelewa home.
basii wengine hawajiamini wameolewa waanamini bado nyie niwachumba mhakikishie humuachi hivyo hatalia au wewe ni jambazi so anawasiwasi kila wakati ukichelewa analia kwa uchunguu.
maana hamini umerudi salama kutoka kwenye wizi.
maana sio kawaida mtu analia ukichelewa.
tafakari hiloo.
chukua hatua
 
Labda amekamata mimba huyo. Kipindi cha mabadiliko hali kama hiyo yaweza kutokea na ikamsumbua sana asipokuona.

Ila kama yu mkavu tumboni basi pambana na hali yako bro
 
Mazoea ni kama sharia. Sasa wewe kama kuku kila siku saa 12 usharudi home. Unazingua

Chakufanya kesho rudi saa nne, kesho kutwa rudi saa saba siku ingine usirud kabisa. Akili izoeee.

Kila siku ukiwa unakaa nyumbani hata bei za viwanja na magari hapa mjini hutazijua.
 
Hahaa. Ndio sababu wengi bado wapo wapo eeee. [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Kabisa yani wengine bado wanataka kwenda kuangalia mpira usiku sasa ukishaoa hayo mambo hayatakiwi tena.
 
Mazoea ni kama sharia. Sasa wewe kama kuku kila siku saa 12 usharudi home. Unazingua

Chakufanya kesho rudi saa nne, kesho kutwa rudi saa saba siku ingine usirud kabisa. Akili izoeee.

Kila siku ukiwa unakaa nyumbani hata bei za viwanja na magari hapa mjini hutazijua.
Hahaaa. Jirani jirani eti siku nyingine asirudi kabisa si ndio atamkuta uso umevimba kwa kilio.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom