Oworuganda
JF-Expert Member
- Feb 6, 2016
- 2,187
- 2,798
Hivi Ndoa ndoana maana ake nn?
[emoji848][emoji848]
[emoji848][emoji848]
Katika kipindi chote cha miaka 5 hujawahi kurudi muda huo?Miaka mitano.
Hapana..Katika kipindi chote cha miaka 5 hujawahi kurudi muda huo?
Mkuu umenichekesha kama usemayo ni ya kweli.Ndio mapenzi hayo ndugu yangu!
Wenzio hata tukirudi asubuhi hatuulizwi chochote mpaka mtu unajistukia hivi hapa kweli napendwa?
Mkuu ukikutana na Watu wa aina hiyo unajikuta Wewe mwenyewe unawahi kurudi nyumbani![emoji28][emoji28][emoji28] duuuh hujawahi muuliza kwa nini hakuulizi mkuu
Kumbe aliishakufuma? Subiri uje umkute na muuza maziwa, tutakuona hapa makamasi yanakutoka kwa kumegewaKidoogo ulitaka kugusa ndipo,,, maana haniamini hata chembe tangia siku aliyonifumania na jirani yangu hadi leo.
Anajiheshimu sana na anaridhika na ya mme wake.Kumbe aliishakufuma? Subiri uje umkute na muuza maziwa, tutakuona hapa makamasi yanakutoka kwa kumegewa
Ana miaka 23Mkeo ana miaka mingapi? Kwa hiyo hata kazini hamuendi mmekaa mnakodoleana mimacho tu hapo!
Mkuu kutokana na kazi zangu hainibidi kurudi usiku,,, na yeye anajua ratiba zangu zote kwa siku hiyo.wahenga walisema, mtoto umleavyo......!
kwaio hayo yanayokutokea ni kwamba wewe uliyalea tokea ndoa yenu bado changa. ni ukweli usiopingika kwamba; kipindi cha ndoa changa ndipo watu huandaa mtaala wa maisha yao ya ndoa. mfn; kwa kipindi hicho; ukimzoeza kurudi nyumbani mapema anakuzoea hivyo n.k, n.k. sasa siku ukifanya tofauti ndo anaanza kukuzingua maana hujamzoeza hivyo.
n.b; mlishe jalamba usimzoeze maisha flani (yaani usiishi kwa fomula uwe mtu wa kutotabirika). hapo ndipo utam-win mmama! vinginevyo utaiona ndoa yako ni jehanamu!
am done!