Jamani mimi ni kijana mwenzenu ntakufa

Jamani mimi ni kijana mwenzenu ntakufa

Hahaha don bwana - nadhani ile hatua kwa sisi wengine huwa Tuna kubali tu kuwa huyu mwanamke ni mzuri ----lakini yaweza kuwa akili yako imekubali uzuri wake lakini haijawa tayari kutamani kungonoka nae. ..I japo kuwa hilo hutokea kwa wachache. ...

Wajua Kuna wanaume wa kware na ambao sio wakware. ...So bila Shaka wewe itakuwa upo hapo kwenye wakware
Nadhani kuna kitu hakijawekwa sawa, kutamani ni nini?

Ukimwona mwanamke mzuri ukakubali kwamba ni mzuri, nini kinachokuja kichwani?

Achana na habari ya kusema umtongoze au la, nazungumzia ile hatua ambayo unajikuta unamfanyia assessment na kukibali kwamba analipa, he hiyo hatua unaitofautisha vipi na kutamani?
 
i
Hilo ni pepo la ngono aka jini mahaba.
Ila kwa jina la YESU ni rahisi sana kuliondoa.
Walokole hebu muwage serious saa zingine muache mizaha mtakuja kuuwa watu kwa ujinga wenu!! Mkuu toa ushauri utakaomsaidia mdau......................!!!!
 
Anza kuushurutisha ubongo wako uwe una tafasiri kuwa hivyo ni vitu vya kawaida --- epuka kuangalia angalia picha/video chafu. ....epuka kutembelea sehemu ambazo Zina vishawishi vya ngono. .... fanya mazoezi - -tumia muda wako mwingi kuushutisha ubongo wako kuwaza mafanikio katika mambo chanya u nayo yafanya
Nifanye nn mkuu maana siipendi hii hali,ata mausiano siyataki kwa wakati huu
 
Kila mwanamke mzuli nitakae mwona mbele yangu natamani kushiriki nae tendo (sex) aijarishi ni umri gani.
Jamani nifanye nn ili nitoke kwenye hii stage maana binafsi siipendi hii hari na inanitesa sana mwenzenu naitaji msaada wenu wana Jf.
Punguza kuangalia pilau.
 
Hahaha don bwana - nadhani ile hatua kwa sisi wengine huwa Tuna kubali tu kuwa huyu mwanamke ni mzuri ----lakini yaweza kuwa akili yako imekubali uzuri wake lakini haijawa tayari kutamani kungonoka nae. ..I japo kuwa hilo hutokea kwa wachache. ...

Wajua Kuna wanaume wa kware na ambao sio wakware. ...So bila Shaka wewe itakuwa upo hapo kwenye wakware

Ooh, cool.

Mimi nilijua nikimwona nikamkubali, first sense unawaza "how sweet would it be to be with her on 6x6!". Tayari hapo nimetamani.

Then unaishia hapo, unaendelea na mambo yako, file lingine lilikatiza same process inajirudia.

Furthermore: Ni kipi kinaweka utofauti kati ya mkware na ambaye siyo?
 
Mkware ni Aina ya mwanaume Ambaye anapenda wanawake sana na kushiriki nao ngono '"Yaani ngono inakuwa ni kama kilevi kwake na Yuko very proudly katika hilo
Ooh, cool.

Mimi nilijua nikimwona nikamkubali, first sense unawaza "how sweet would it be to be with her on 6x6!". Tayari hapo nimetamani.

Then unaishia hapo, unaendelea na mambo yako, file lingine lilikatiza same process inajirudia.

Furthermore: Ni kipi kinaweka utofauti kati ya mkware na ambaye siyo?
 
Njoo ufanyiwe maombi kwa jina la Yesu..ukilmbewa mapepo hayo yatatoka.
 
Hahaha yaani when I was 18 to 22 ilikuwa ni disaster. .mbaya zaidi ukiwa una fanya sana ufuska inakuwa kama unanukia ngono ngono basi Unashangaa wanawake wanajileta tu. ..

Yaani Neno Uaminifu lilikuwa halina nafasi kabisa katika diary yangu --.... ila baada ya kujitambua kwa kina nashukuru naweza kuitumia akili yangu vyema pale moyo unapo jaribu kunipatia mashinikizo Hasi
Nawewe ulikuwa unatamani hovyo hovyo kama huyu [emoji12]
 
Back
Top Bottom