Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 15,797
- 28,461
Jicho langu moja LA kushoto miezi 5 iliyopita nilianza kuhisi lina uono hafifu,badaye nikaanza kuhisi jicho kama linajiziba kama linajifunga wakati huo huo miale ya mwanga ikawa inaniumiza sana hasa wakati nikitoka kulala au kukiwa na jua na usiku mwanga wa gari au pikipiki unaniumiza pia.
Nikaenda CCBRT wakanipa dawa nikatumi,but hali haikuimalika wakanichukua kipimo jamaa akasema upande wa chini wa jicho (cornea) umekandamizwa hivyo miele ya mwanga haichujwi vizuri.Nilimuuliza dkt huu ni ugonjwa gani unasababishwa na nini na matibabu yapoje? kiufupi hakueleza kinaga ubaga.wakaniandikia dawa za vitamin vya siku 60 za kama 120Kna dawa zingine za maji nilitumia lakini bado hali ikawa hivyo hivyo.
Badaye nikahamia Muhimbili nao wakanipima na machine yao,but hawakunipa maelezo ya msingi ni kama anaangalia tu ili uondoke,nao wakanipa dawa za matone nikatumia bila mafanikio.Nikarudi tena hapo Muhimbili badala Dr.anipe vipimo vingine vikubwa yeye akasema nenda kwenye miwani-nikamueleza huko kwenye mawani wamwshindwa maana lens yoyote wanayotest katika jicho hili bado nakuwa napata shida,wakanipa tena dawa za vitamin.
Badaye nikahamia private clinic ya macho ya Dr.Agarwals Eye Hospital pale Morocco, nao wakaanza kunipima miwani wakakuta situation ikawa hivyo kwenye jicho lenye shida kila lens inaniumiza tu jicho tofauti na jicho ambalo halina shida.wakanipima kwa vipimo vingine wakasema labda nina tatizo LA astigmatism (hana uhakika hata baada ya kupima) nao wakanipa dawa za matone.
Kwa sasa nikikaa ninasikia kama kitu kinachoma katika jicho,kama MTU achukue sindano aingize katika jicho halafu badae kinapotea.yani hapa nipo njia panda nina wasiwsi naweza kupata upofu wa jicho hili,najiuliza niende tena Hospitali IPI ambayo nitapata huduma kuliko hizo au nitafute tu hela niende Nairobi?
Nikaenda CCBRT wakanipa dawa nikatumi,but hali haikuimalika wakanichukua kipimo jamaa akasema upande wa chini wa jicho (cornea) umekandamizwa hivyo miele ya mwanga haichujwi vizuri.Nilimuuliza dkt huu ni ugonjwa gani unasababishwa na nini na matibabu yapoje? kiufupi hakueleza kinaga ubaga.wakaniandikia dawa za vitamin vya siku 60 za kama 120Kna dawa zingine za maji nilitumia lakini bado hali ikawa hivyo hivyo.
Badaye nikahamia Muhimbili nao wakanipima na machine yao,but hawakunipa maelezo ya msingi ni kama anaangalia tu ili uondoke,nao wakanipa dawa za matone nikatumia bila mafanikio.Nikarudi tena hapo Muhimbili badala Dr.anipe vipimo vingine vikubwa yeye akasema nenda kwenye miwani-nikamueleza huko kwenye mawani wamwshindwa maana lens yoyote wanayotest katika jicho hili bado nakuwa napata shida,wakanipa tena dawa za vitamin.
Badaye nikahamia private clinic ya macho ya Dr.Agarwals Eye Hospital pale Morocco, nao wakaanza kunipima miwani wakakuta situation ikawa hivyo kwenye jicho lenye shida kila lens inaniumiza tu jicho tofauti na jicho ambalo halina shida.wakanipima kwa vipimo vingine wakasema labda nina tatizo LA astigmatism (hana uhakika hata baada ya kupima) nao wakanipa dawa za matone.
Kwa sasa nikikaa ninasikia kama kitu kinachoma katika jicho,kama MTU achukue sindano aingize katika jicho halafu badae kinapotea.yani hapa nipo njia panda nina wasiwsi naweza kupata upofu wa jicho hili,najiuliza niende tena Hospitali IPI ambayo nitapata huduma kuliko hizo au nitafute tu hela niende Nairobi?