masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,625
- 14,591
- Thread starter
- #21
Hebu jaribu kuelewa nimeandika nini.Sasa nimepindisha ukweli gani? Nimekwambia kiwanja chote kuanzia hapo NBC mpaka KKKT unashuka mpaka BILLY Lodge ilikuwa mali ya TBL yaani Tanzania Breweries.......unless humjui Kilewo ni nani.....Kanisa walipewa sehemu yao na KIMBISA akapewa sehemu yake na wengine wmjuao Lowassa nao wakapata ikiwemo KKKT
Klewo alitoa sehemu hiyo YOOTE KWA KANISA and not otherwise.
Katika kubadili matumizi ya ardhi na umilikaji ndipo Mheshimiwa akapata ulaji.
Kilewo HAKUMPA Kimbisa eneo hilo, bali alipewa na mheshimiwa, baada ya muheshimiwa KUJIGAWIA na kukigawa kiwanja hicho kwa dhamana ya cheo chake.
Hili lilileta mytafaruku mkubwa, na mheshimiwa HAJAWAHI kualikwa hapo Mbezi licha ya kuwa yeye vile vile ni KKKT.
Hata JK na Makamba walishawahi kualikwa hapo kwa harambee mbalimbali lakini SI Mheshimiwa wako.